Sisi tulivyocheza kwenye baridi nyuzi 13 hamkuliona?Ndio michakato ya simba wanashinda kwa sababu ya kuzoea/usugu wa mazingira,mpira hawana kabisa
La pili linaingia saa ngapi?
Mda hauendi
Kawaliza tena au vyenga?Pape Othman Sako
Sijawahi kuwa na mashaka naeOyaah wazee, Inonga ni beki bwana[emoji23]
Muhimu kwetu ni ushindi tu.