wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kibu ni mbwa kabisa.
Zina Tabia Za Kupasuka Ukizibana Sana.Muda wangu wa kubana pumbu ndio huu
Mzamiru kwa kupoteza mipira hajambo, asije tu akatunyea.
Bwalya amechoka sanaHuyu kocha nae mipango hana, unatoaje bwalya, mzamiru anaenda kutafuta nini humu, tayari una kanoute pass accuracy yake mbovu kisha unatia mzamiru ambae nae ni yale yale.. [emoji2959]
Hii game tuombe dua tu, ishakuwa ngumu.
Wengine wameelewa nachotaka afanyeUnataka afanye nn maana umeongea kama konda Wa daladala
Sikuliona hili,nilikuwa naona bado anadai, kinachotufelisha sisi ni hapo kati,kanoute hatimizi majukumu yake ipasavyo.Bwalya amechoka sana