ESPRESSO COFFEE JF-Expert Member Joined Sep 6, 2014 Posts 6,170 Reaction score 7,665 Jan 5, 2022 #1 Mapinduzi Cup leo Jumatano Saa 10:15 jioni, Simba SC kuanza michuano hii kwa kumenyana na Selem View ambao walipata sare tasa mechi ya kwanza. Je, leo ni Simba ama Selem View nani kupata ushindi wa kwanza? Lakini Kubwa zaidi ni kuona Viwango vya wachezaji. Tuwe hapa
Mapinduzi Cup leo Jumatano Saa 10:15 jioni, Simba SC kuanza michuano hii kwa kumenyana na Selem View ambao walipata sare tasa mechi ya kwanza. Je, leo ni Simba ama Selem View nani kupata ushindi wa kwanza? Lakini Kubwa zaidi ni kuona Viwango vya wachezaji. Tuwe hapa
park don JF-Expert Member Joined Dec 2, 2017 Posts 4,923 Reaction score 7,048 Jan 5, 2022 #2 Subscribed!
GEMBESON JF-Expert Member Joined Apr 15, 2012 Posts 1,463 Reaction score 3,193 Jan 5, 2022 #3 Namtakia Kila la Kheri Shiboub kwenye Majaribio yake. KIKOSI KINACHOANZA: 1. Beno 2. Jimson 3.Gadiel 4.Kened 5. Wawa 6. Kanoute 7. Dilunga 8. Mzamiru 9. Bocco 10. Bwalya 11. Sacko
Namtakia Kila la Kheri Shiboub kwenye Majaribio yake. KIKOSI KINACHOANZA: 1. Beno 2. Jimson 3.Gadiel 4.Kened 5. Wawa 6. Kanoute 7. Dilunga 8. Mzamiru 9. Bocco 10. Bwalya 11. Sacko
park don JF-Expert Member Joined Dec 2, 2017 Posts 4,923 Reaction score 7,048 Jan 5, 2022 #4 Simba 3 salem 0 Over 2.5
Curtis G JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 415 Reaction score 544 Jan 5, 2022 #5 Kila la kheri Simba SC nguvu moja..
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Jan 5, 2022 #6 Kwa upinzani aliopangiwa simba kwenye lile kundi naona kabisa kuna malengo ya kutuzungusha zungusha tuchelewe kuchukua kombe Mtu ataye tabiri ushindi wa simba chini ya goli tatu ni snitch
Kwa upinzani aliopangiwa simba kwenye lile kundi naona kabisa kuna malengo ya kutuzungusha zungusha tuchelewe kuchukua kombe Mtu ataye tabiri ushindi wa simba chini ya goli tatu ni snitch
NAWATAFUNA JF-Expert Member Joined Nov 14, 2019 Posts 13,284 Reaction score 24,047 Jan 5, 2022 #7 Nimekosa, nimekosa,,,nimekosa mimi, nisameheni wana Utopolo ili kombe mwisho ni msimu huu, mwenye kombe lake ni mnyama Simba aliyekunjua makucha.
Nimekosa, nimekosa,,,nimekosa mimi, nisameheni wana Utopolo ili kombe mwisho ni msimu huu, mwenye kombe lake ni mnyama Simba aliyekunjua makucha.
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Jan 5, 2022 #8 Shibob karudi? GEMBESON said: Namtakia Kila la Kheri Shiboub kwenye Majaribio yake. KIKOSI KINACHOANZA: 1. Beno 2. Jimson 3.Gadiel 4.Kened 5. Wawa 6. Kanoute 7. Dilunga 8. Mzamiru 9. Bocco 10. Bwalya 11. Sacko Click to expand...
Shibob karudi? GEMBESON said: Namtakia Kila la Kheri Shiboub kwenye Majaribio yake. KIKOSI KINACHOANZA: 1. Beno 2. Jimson 3.Gadiel 4.Kened 5. Wawa 6. Kanoute 7. Dilunga 8. Mzamiru 9. Bocco 10. Bwalya 11. Sacko Click to expand...
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,214 Jan 5, 2022 #9 Kila la kheri Simba Fc.
XII Tz JF-Expert Member Joined Aug 16, 2020 Posts 4,345 Reaction score 7,076 Jan 5, 2022 #10 Kila la kheri mnyama simba
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Jan 5, 2022 #11 Nacheki zangu kandanda naburudisha macho na moyo....huku nikiburudisha koo kwa unywaji baridi wa tajiri
Nacheki zangu kandanda naburudisha macho na moyo....huku nikiburudisha koo kwa unywaji baridi wa tajiri
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Jan 5, 2022 #13 Hii ndio bongo Mechi imetangazwa kuchezwa saa 16:00 lakini saizi saa 16:13 ndo kwanza wachezaji wanapiga picha uwanjani
Hii ndio bongo Mechi imetangazwa kuchezwa saa 16:00 lakini saizi saa 16:13 ndo kwanza wachezaji wanapiga picha uwanjani
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Jan 5, 2022 #14 Naaam mpira umeanza dakika 45 za kwanza zimeanza kuhesabika rasmi
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Jan 5, 2022 #15 Mpira umeanza kwa kasi huku simba akishambulia zaidi
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Jan 5, 2022 #16 Ka uwanja kako fresh si haba
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Jan 5, 2022 #17 Dilunga kafanya kitu ambacho messi na neymar tu ndio wanakiweza
ElPuto Jefe JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 5,284 Reaction score 19,410 Jan 5, 2022 #18 #NGUVUMOJA
ESPRESSO COFFEE JF-Expert Member Joined Sep 6, 2014 Posts 6,170 Reaction score 7,665 Jan 5, 2022 Thread starter #19 Sakho [emoji91][emoji91]
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Jan 5, 2022 #20 Hawa view nao sio wakuwadharau, wamepiga ball hapa sio kitoto