ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Mapinduzi Cup leo Jumatano Saa 10:15 jioni, Simba SC kuanza michuano hii kwa kumenyana na Selem View ambao walipata sare tasa mechi ya kwanza.
Je, leo ni Simba ama Selem View nani kupata ushindi wa kwanza?
Lakini Kubwa zaidi ni kuona Viwango vya wachezaji.
Tuwe hapa
Je, leo ni Simba ama Selem View nani kupata ushindi wa kwanza?
Lakini Kubwa zaidi ni kuona Viwango vya wachezaji.
Tuwe hapa