Mechi ya kujiweka sawa pre season kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ndani yatakayoanza tarehe 25 september 2021 league ya Tanzania na baadaye michuano ya kimataifa ya CAF Champion league. Mchezo wa kirafiki baina ya Simba SC dhidi ya Aigle Noir C.S ya Burundi uliofanyika Arusha Tanzania. Kibu Denis na Bernard Morrison waifungia mabao Simba SC.
Match Amical : Simba SC 2 - 1 Aigle Noir C.S à ARUSHA - TANZANIE
Walicheza 3_5_2......
Nadhani mwalimu alikuwa anatest mfumo wa kuzuia, maana kiungo mshcambuliaji alikuwa pape pekee.
Ilikuwa hivi.
Manula
Wawa, Nyoni, Onyango
Kapombe, kanoute, mzamiru, Pape, zimbwe
Kagere kibu
Manula atasema bado yupo mafunzoni anajifunza jinsi ya kujinafasi dhidi ya mashambulizi / matukio ya kustukiza ambayo ni nadra kuyapata ktk mechi za ligi yetu ya Tanzania.