Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Ushaaanza woga! Kitu nganganga haina kudevela marinda yanafumuliwa nitakuwa Na keki yenu Leo.
Sinaga kabisa muda wa kuishabikia Simba au Yanga, nazijua vizuri hizo timu hususani inapofika wakati zinapokutana. Mambo mengi sana huzuka ikiwemo Hila, Hongo, Vitisho, Ushirikina, Fujo nk.

Utafiti wangu mdogo sana nilioufanya kila mara timu hizi zinapokutana kwenye michezo ya ligi huku zikiwa na "Tension" kubwa kutoka nje ya uwanja basi matokeo huwa sare.
 
mwe refa mbona tshirt imechanika kwa nyuma.
 
Kipindi cha kwanza kimeisha,ngoma bado mbichi sana.Moira hautabiriki.Simba walibanwa nusu ya kwanza,Yanga wameshikwa nusu ya mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…