Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Wameuzaje??Simba wameuza mechi! Ujinga mtupu!
Huyo makapu Hamna kitu zito balaa
Zulu&makapu kipindi cha 2 yanga wataelemewa sana
Haipo leoHali hii leo haipo au?View attachment 474482
Naona kwa sasa Simba amekauka sasa. Ana moto balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inabidi Simba wawe wanacheza pungufu ili wacheze vizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
Naona kwa sasa Simba amekauka sasa. Ana moto balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli mkuu??1 - 1 dada
hahhhahhaha we utakuwa simba ww....pole sana mtani....Shukrani kwa lipi jipya uliloleta so far?
Ndio mkuu Mavugo kasawazishaNi kweli mkuu??
SafiiiiiNdio mkuu Mavugo kasawazisha
Unanena kwa lugha dadaShagalabalabsksksvxkciagshdpdshshs
Bantu lady vipi tena??Shagalabalabsksksvxkciagshdpdshshs
Dawa imeingia sawasawaShagalabalabsksksvxkciagshdpdshshs
Shagalabalabsksksvxkciagshdpdshshs
Dakika ya ngapi now?