Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Yamekuwa hayo tenaKichuya Ni jiniiiiiiiiiiiiiiiiii
Refa mudaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara kona goal mara goal kama hili.Kichuya Ni jiniiiiiiiiiiiiiiiiii
ingawa mie shabiki wa yanga kiukweli goli tamuu.Ndo kawaida ya Kichuya kwa yanga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ohooooo! [emoji22][emoji22][emoji22]hapa nilipo simba wanashangilia mateja mateja mateja. hahahahaaa
Kweli mkuu, mana nipo msibani usitake nishangilie wakati watu wanauchungu na machozi yasio kauka.Mavugo aandika bao la tatu hapa