Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

1. Yanga kichwa cha mwendawazimu
2. Yanga yaaibika taifa.
3. Yaendeleza uteja kwa Simba
4. Yebo yebo si lolote kwa Simba
5. Yanga yafyata mkia kwa Simba
6. Mnyama kamrarua ndala fc
7. Simba ni simba tu.
8. Simba acha maneno weka mziki
9. Simba mnyama unyamani
10. Yanga ni sawa na mfamaji
 
Hahahahahaha
 
JamiiForums mama aheshimiwe jaman
 
Tuheshimiane sasa!

Hahahaaa!


Mmepewa penalti...

Watu wakala Kadi nyekundu...

Bado mkapigwa mbili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…