Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

1. Yanga kichwa cha mwendawazimu
2. Yanga yaaibika taifa.
3. Yaendeleza uteja kwa Simba
4. Yebo yebo si lolote kwa Simba
5. Yanga yafyata mkia kwa Simba
6. Mnyama kamrarua ndala fc
7. Simba ni simba tu.
8. Simba acha maneno weka mziki
9. Simba mnyama unyamani
10. Yanga ni sawa na mfamaji
 
Mm shabiki wa yanga pongezi sana kwa SIMBA[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Ila yanga leo tungefungwa goli 10 tu ingekuwa afadhali mara 1000,lkn sio kwa hiki tulichofanywa leo na SIMBA yanga kum*a la mama ako
Hata twiga stars wasingefanya hivi viroja mlivyofanya leo[emoji90] [emoji90] [emoji90]
Hahahahahaha
 
JamiiForums mama aheshimiwe jaman
Mm shabiki wa yanga pongezi sana kwa SIMBA[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Ila yanga leo tungefungwa goli 10 tu ingekuwa afadhali mara 1000,lkn sio kwa hiki tulichofanywa leo na SIMBA yanga kum*a la mama ako
Hata twiga stars wasingefanya hivi viroja mlivyofanya leo[emoji90] [emoji90] [emoji90]
 
Screenshot_2017-02-18-20-36-19.png
 
Tuheshimiane sasa!

Hahahaaa!


Mmepewa penalti...

Watu wakala Kadi nyekundu...

Bado mkapigwa mbili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom