Ya1. Yanga kichwa cha mwendawazimu
2. Yanga yaaibika taifa.
3. Yaendeleza uteja kwa Simba
4. Yebo yebo si lolote kwa Simba
5. Yanga yafyata mkia kwa Simba
6. Mnyama kamrarua ndala fc
7. Simba ni simba tu.
8. Simba acha maneno weka mziki
9. Simba mnyama unyamani
10. Yanga ni sawa na mfamaji
Nilishiwa nguvu aisee...Mkuu tulipofungwa moja nilipotea kabisa! Nikawa nachungulia tu hapa JF! Hali ilikua tete!
Lakini kwa simba hakuna presha bwana mwendo mdundo n araha mustarehe. Uwe na jioni njemapresha ipo kwenye mpira upende usipende, haikwepeki.
Upo mkuuTena ombeni hata sare laa, nakesha humu. Mwafaaaaa yani na wine inapanda taratibu. Leo mnalooooooo
#teamyangaforever#
Nakwambia acha tu, wine iko inacheza makida makida tu. Sielewi niko duniani ama ahera.Wine imekauka kichwani [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ongeza na msiba mwingine wa yanga mkuu
Kasumbue now RUKSA[emoji23]Mkuu tulipofungwa moja nilipotea kabisa! Nikawa nachungulia tu hapa JF! Hali ilikua tete!
Daaah.....hatari tupuduuuuh Mimi ni mtu hatari saaana sembo
Mkuu kula Bia...Tulipopigwa bao la penati nilivunja kiti hapa bar lakini baada ya kusawazisha na kuongeza kwa furaha nimelipa viti vitatu
Pole kipenzi, ndio mpira huo...!! Mimi nilikua nikisoma hapa naumia nalia nakaukiwa cha kuandikaNakwambia acha tu, wine iko inacheza makida makida tu. Sielewi niko duniani ama ahera.
HahaaaaaaMkuu kula Bia...
Afu weka no. Ya mpesa hapa!
The mutoto na ngaya![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]