Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Watu wengi watakuwa upande huoTaifa kwn kuna tanuru la kuchoma kadi
Ninainukuu hii comment yako kwa maandishiHaya hayaaaaaa,mikia tukutane jioni Taifa.
Utabiri wangu ni Yanga 1-0,au mkijitahidi sana tutatoka suluhu (0-0)
Forever Young Africans
Si wote wenye njaa mkuu ,kamwe hali yako usifananishe na mwenzio...Kuna watu pesa inafanya kazi badala yao,si wao kufanya kazi kwa ajili ya pesa kama Wewe.Dah mechi saa kumi wewe umeshaanza updates saa hizi huna kazi Mkuu? Tayari upo NMS? NATIONAL MAIN STADIUM?
Upo shost nimefurahi kukusikia!Haya hayaaaaaa,mikia tukutane jioni Taifa.
Utabiri wangu ni Yanga 1-0,au mkijitahidi sana tutatoka suluhu (0-0)
Forever Young Africans
Huku simba ikipakatwaLeo ndo ile siku Simba anaenda kutembea na Yanga.
Sasa huoni kama wao ndio mafala? Timu wema na mpira wapi na wapi?Team wema wanazuiwa wasichome kadi hii nchi ya kifala sana