Kamatia chiniiii![emoji23] kamatia chini!!![emoji444] [emoji445] [emoji443]
Nimecheka[emoji29] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji6] [emoji14] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hawa Nao Wapo Simba ha ha ha ha....
Dah!!! .....afadhali mtaani kutatuliaKamatia chiniiii!
Kuchuya nyoko sana!
Dakik ya 66 katoa pasi ya goli...
Muda haujapita akapiga kamba za goli ya wazee wa arosto[emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo mkuu kwa kudra ya Mwenyezi Mungu.Upo mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tulipopigwa bao la penati nilivunja kiti hapa bar lakini baada ya kusawazisha na kuongeza kwa furaha nimelipa viti vitatu
Daaah ndugu yangu Mavugo tusameheane ulimi hauna mfupa[emoji120] [emoji120] [emoji120]kama simba kuna mwaka tuliouziwa mbuzi kwenye gunia basi ni usajili wa mavugo
HILI NI ZIMWI LA CHUMAULETE
Hahaaaa! Jamaa walikuwa wana piga kelele sana...Dah!!! .....afadhali mtaani kutatulia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Daaah ndugu yangu Mavugo tusameheane ulimi hauna mfupa[emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji109] huu ndio UUNGWANA ndugu yanguDaaah ndugu yangu Mavugo tusameheane ulimi hauna mfupa[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Modes naomba utimize wajibu hapa[emoji28][emoji28]Yanga ikifungwa leo naomba ban, mods please mnipe tu ban. Hahahahaaa raha ya kujiamini ndio hii. Na timu iwe imara kama Yanga.
#teamyangaforever#
asante mkuu ulikuwa sawaMkuu hapa Simba ni ushindi tu .......keep that in mind
asante sana.Hongera sana kwa kujitambua.
Kwakweli jirani... itifaki izingatiwe tu kwa maana hamna namna tena...Jirani fanya tukutane leo, tuimalizie siku mubasharaaaa
Bado upo, na una hali gani?teamyanga down here!
lazima tuwatoe nishai mikia!
naona unamchongea.Modes naomba utimize wajibu hapa[emoji28][emoji28]