Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Hivyo vigrass hua namuona navyo Dada yangu Nifah kila Ndala wakishinda.. Kuhusu leo... mpaka sasa sijaonana nae
Utamwonaje sasa kwa mfano
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anaugulia maumivu pole yake[emoji22]
 
Tuheshimiane sasa!

Hahahaaa!


Mmepewa penalti...

Watu wakala Kadi nyekundu...

Bado mkapigwa mbili [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza nimeshangaa eti kale kagoli ka penati nao wakajidai kushangilia. Wataalam na mafundi wa mpira tukawasubiri baadaye tukawatandika wakalowaa chapwa chapwa hahaaaa simba ni viumbe toka sayari nyingine aise waiache tu
 
1. Yanga kichwa cha mwendawazimu
2. Yanga yaaibika taifa.
3. Yaendeleza uteja kwa Simba
4. Yebo yebo si lolote kwa Simba
5. Yanga yafyata mkia kwa Simba
6. Mnyama kamrarua ndala fc
7. Simba ni simba tu.
8. Simba acha maneno weka mziki
9. Simba mnyama unyamani
10. Yanga ni sawa na mfamaji
Nimeipenda hiyo namba 3.
 
Tulipopigwa bao la penati nilivunja kiti hapa bar lakini baada ya kusawazisha na kuongeza kwa furaha nimelipa viti vitatu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom