NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Nguvu za wanasimba zote sasa ni kwa bwamdogo Coastal Union.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu mwenye chati ya msimamo wa ligi aiweke apa tuone mnyama anavyompumulia Uto kwa points.
Kuna afande mmoja alisikika akisema kufungwa goli 3 na Simba ni Ushindi maaana hata hao Ahly wenyewe walikuwa Bin Taaban
Kakolanya yuko vizuri naye, msiwe na wasiwasiJamani manula anaendeleaje?
Aliemsajili Nchimbi ndie aliemsajili Sarpong hivyo usione ajabu MkuuYaan boko mechi mbili na amefunga lkn nchimbi kacheza CHAN mechi zote lkn hajafunga karejea VPL pia hajafunga 😆😆😆😆😆😆 ivi ni nani alimsajili nchimbi
Wachezaji wa Simba washakubaliana hata wakipata Penati wanaipiga nje ya Lango, hivyo usiulize magoli ya penati.Mi niko interested kujua... kati hayo magoli matatu, tumefunga mangapi kwa penalti?
Ameshindwa kusoma alama za nyakati..anadhani Simba ni mwaka 47, Simba ya sasa ukikaa nje watu wanachukua namba na hukumbukwi tena....apige stori na kina Gadiel tu kwenye bench.Akavute vizuri bangi zake uko mitaani,Simba ya sasa sio ya kukaa na wachezaji machokoraa.
DaaahWachezaji wa Simba washakubaliana hata wakipata Penati wanaipiga nje ya Lango, hivyo usiulize magoli ya penati.
Usiniambie ni inji nearAliemsajili Nchimbi ndie aliemsajili Sarpong hivyo usione ajabu Mkuu
Mkuu mkeka wako umetickKwa kikosi hiki huyu Gombezi sijui Rosa anafungwa mapema sana. Bao 3-0
Sisi yanga tumempa mkataba wa awaliAmeshindwa kusoma alama za nyakati..anadhani Simba ni mwaka 47,Simba ya sasa ukikaa nje watu wanachukua namba na hukumbukwi tena....apige stori na kina Gadiel tu kwenye bench.
Asante ripotaa wetu sasa tuna rejea studio kwa matangazo ya biasharaInaingizwa ndani kule lango la Simba SC, Wawa anaruka juu. lakini golikipa Kakolanya anagongana na mchezaji wa JKT yupo chini
Ameinuka mpira unaendelea
Pichu au sakbo au misuli ya wazee 🤣🤣 watajibebaaaaaNadhani Kamati ya Mapokezi kitu kinagonga..!View attachment 1715000
Haya ni matumizi mabaya ya akili, ungeshirikisha ubongo wako badala ya kishundu usingeandika huu utopolo wakoPaka fc bila mbeleko ni wepesi kama unyoya
Mod wa leo atakuwa ana undugu na Mwakalebela... wote wana kilo 800...Fanyeni update kwenye title hapo mnawachanganya watu
Sasa hivi simba hata tukipata penati tunapiga nje, huo ndio mpango.Ingekuwa kidimbwi FC, kesho ungesikia maandamano...
Juzi niliongea na wachezaji wetu, nikawaambia hawawezi kuunga mkono juhudi za vyura. Tukipewa penalti wapige nje... Nyie wote ni mashahidi wangu ... mliona Kagere alivyopiga nje... Wajinga wanadhani alikosa kumbe alikuwa anafuata maagizo kutoka juu...