mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ni kweli ndio maana wanaamua kucheza rafu tu na kutuharibia biriani letu.Sawa babu. Hii Simba msimu ujao inabidi tuombe tu hata tushiriki ligi ya Sauzi au Misri maana hapa bongo wanatupotezea tu nguvu zetu bure hakuna wakushindana na sisi.
Na kusave energy bado kuna michezo mingi sana migumu hapo mbeleni.Fatigue
Polisi TZ walimfunga lini Yanga?Yanga kafungwa na Coastal, Polisi na Azam. Ila jedwali linaonesha mechi mbili inakuwaje au la kabla hili?
Konde boy anapewa mapumziko Kwa sababu anacheza kwa kujituma Sana na anatumia Sana nguvu, ye popote anaingia tu wala haogopi kwahiyo anakuwa kwenye risk kubwa ya kuumia lakini pia anatoka Yuko Hoi balaaHuyu chama apewe bed rest tu...ili trh 8 awe mtamu zaidi.
Kama ambavyo konde boy anapewa mapumziko.
Bundesliga itapendeza zaidi. Sisi na Bayern Munich wote tumemfunga Al Ahly...Sawa babu. Hii Simba msimu ujao inabidi tuombe tu hata tushiriki ligi ya Sauzi au Misri maana hapa bongo wanatupotezea tu nguvu zetu bure hakuna wakushindana na sisi.