Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ila kusema kweli hawa Dodoma sio wanyonge ni vile tu wamekutana na mnyama mwitu asie na huruma. Ingekuwa wanacheza na utopolo wangewafunga nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marefa wangewabeba uto au yule jamaa wao angepenyeza bahasha ya kaki.Ila kusema kweli hawa Dodoma sio wanyonge ni vile tu wamekutana na mnyama mwitu asie na huruma. Ingekuwa wanacheza na utopolo wangewafunga nyingi.
Una bahati ulichagua Simba ungechagua Utopolo labda ungeshakunywa sumu siku nyingi sana.Nimegundua kushabikia Mpira ni raha Sana hasa ukichagua timu yenye viwango Kama Simba miaka 3 nyuma sikua kabisa mpenzi wa Mpira zaidi ya kuangalia matokeo tu na ule ushabiki wa juu juu Ila sasa hata stress zimepungua Sana sababu ya mpira.
nimekua na marafiki wengi kutokana na kujichanganya tofauti na mwanzo
Apunguze drible atakuja kuvunjwa miguuWanatuumizia Morrison
Ngapi ngapi chalii yangu?Una bahati ulichagua Simba ungechagua Utopolo labda ungeshakunywa sumu siku nyingi sana.
Ahsante mnyama!Kila la kheri Mnyama.
Point 3 muhimu!
Hii app gani?This Is Simba brazaaa
View attachment 1765854
Kocha alijua atalifanyia kazi tatizo LA ubutu, na ameshafanikiwa!! Muda huu keshajua ku-press na amepunguza sana papara na ameongeza kujiamini!Tatizo butu akibaki na lango.
ukiwauliza viongozi wa Yanga watakwambia hawajakata tamaa. Au wao wana tebo tofauti na hili?Ugomvi wa mtaani mpaka mawe yanahusika, ili wapagawe we usichachawe we yagawe kiuhakika
Wachachawe kabisa mpaka wainawe hii vita, ili kila ukipita pawe na sifa SIMBA inatishaaaa..........View attachment 1765855