Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nishafumga hesabu saizi naangalia tu pira birianiNimekukubaliii Mkuu[emoji28][emoji28][emoji28]
GooooooooooooooooooooooooooooooooalAcha tu, nimejeruhiwa sana moyo na nina hasira mno....
mkuu hilo sisi hatuna shida nalo kabisaa. ugomvi wetu ni kukosa magoli ya wazi. Kwa hiyo kocha amemfundisha kuzuia beki halafu goli za wazi akose? tunamtaka atumie vizuri nafasi anazopataSasa nadhani mmeiona faida ya Mugalu huyu jamaa ni mtu mbaya sana hakuna beki anayependa kukabana naye huwa hatoki kwenye box muda wote yuko pale wale ma center beki wawili inabidi wakae nae muda wote wakizubaa tu kidogo wayaa.
So now unamzungumziaje mugaluKwishaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Vijana wadogo hawawezi kututomasa mizee na mapumbu yetu
Tushaongea na IGPTuombe ulinzi jamani au tuache?
Namwambia atumie vizuri nafasi anazopataSo now unamzungumziaje mugalu
Bado atoke humtaki?