OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Amedaka kama nyani 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo butu akibaki na lango.Sasa nadhani mmeiona faida ya Mugalu huyu jamaa ni mtu mbaya sana hakuna beki anayependa kukabana naye huwa hatoki kwenye box muda wote yuko pale wale ma center beki wawili inabidi wakae nae muda wote wakizubaa tu kidogo wayaa.
Leo naona yupo kibandani😂Mkuu Maxence Melo leo utakua una rahaaa 🤣🤣.
This is Simba banaaaa...
Aminaa🤣namshukuru sana mungu kuzaliwa nikiwa shabiki wa SIMBA, ningekua uto hizi raha ningekua nazisikia kwa bomba
Kitasa timing zake balahaWadau mbona hamsisifii huyu kitasa Kenedi Juma
hana hela ya kifurushi anangalizia kwa Paw .Mkuu Maxence Melo leo utakua una rahaaa 🤣🤣.
This is Simba banaaaa...
Mkuu Kagere kaingia hapo sasa angalia Kama utaziona tena hizo nafasi za wazi alizokuwa anakosa Mugalu maana yangu ni kwamba huyu Mugalu hata Kama anakosa lakini nafasi anatengeneza unaziona lakini hawa wengine hata kutengeneza nafasi tu ni mtihani shekh.mkuu hilo sisi hatuna shida nalo kabisaa. ugomvi wetu ni kukosa magoli ya wazi. Kwa hiyo kocha amemfundisha kuzuia beki halafu goli za wazi akose? tunamtaka atumie vizuri nafasi anazopata
Hii pisi ya wapi?Sisi tuko zetu mbele huko tunawakilisha.View attachment 1765850
Tutachoka maana vya kusifia humu ni vingiWadau mbona hamsisifii huyu kitasa Kenedi Juma
Inabidi wajitutumue haswa Simba yasasa ukizubaa benchi litakuhusu.Kitasa timing zake balaha
Iko mitaa ya Msimbazi.Hii pisi ya wapi?
Kweli kabisa, Kagere hana mguu wa kukaa na mpiraMkuu Kagere kaingia hapo sasa angalia Kama utaziona tena hizo nafasi za wazi alizokuwa anakosa Mugalu maana yangu ni kwamba huyu Mugalu hata Kama anakosa lakini nafasi anatengeneza unaziona lakini hawa wengine hata kutengeneza nafasi tu ni mtihani shekh.
Hapo sasahivi unaona sasa jinsi mabeki walivyo huru kupeleka mashambulizi kwa Simba ?
Unaona dodoma wanavyokuja?