Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ni kweli kabisa, na itapendeza zaidi.Simba hta mkitoka sawa tu hamna jipya
Nafasi za wazi kabisa mnakosa
[emoji1787]Nikweli kabisa,na itapendeza zaidi
Nitatulia mkifunga na kufuzu kwasasa kutulia ngumu mkuu wakati sioni goli 🤣
Serious??
Anasogea sana juu, anaweza kuchunguliwa la mbali 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Leo mjini paka wamepotea sana, tutawaona sekandi hafu.Huku Kwa Benjamin Mbona mambo magumu, Au Paka Hayupo?
Ndicho kitafanyikaAnasogea sana juu, anaweza kuchunguliwa la mbali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata Benchi simuoniBocco alihitajika sana