kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Mchezaji akizifunga Yanga na Simba mmoja wapo lazima amchukue ndiyo maana wakija wanafail maana anachukuliwa bila kujua kwenye timu aliyokuwepo ni wachezaji wa aina gani walikuwa wanambeba.Ndio ajabu hio mkuu, unajiuliza hivi timu haina maskauti maalum wa kuwajua wachezaji na jinsi ya kuwatafuta huko afrika na kwinginekoj
Au ndio alimradi tu wachukue hata kama ni magarasa alimradi wapate 10% kutoka kwao kila mwezi, na mwenye timu unajiita tajiri una hela , inasaidia nini kama huwez kutumia pesa kusajili wachezaji wazuri
Professional player's 🤣Raly Bwalya, Kanuti ni wapumbavu
Anatafuta faulo hata sehemu ya kuforceEfua ananini lakni