Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Hii ilikua wakati wa kuwasha tochi za simu..Sasa hii tochi inafika wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ilikua wakati wa kuwasha tochi za simu..Sasa hii tochi inafika wapi??
Kuwa na Tafsida Kuna watoto hapa mkuu 🤣haya rudi au bado unakunya?
akila mtu 4 kama hivi mbona fresh tushida tumemaliza wa pili tunaanzia nyumbani robo fainali
Wivu hautakusaidia chochote zaidi ya kukuacha maskini.....Hata mkivuka hatua hii, huko mnakwenda kuchakazwa
shida tumemaliza wa pili tunaanzia nyumbani robo fainali
Una ushabiki wa kimasikini kupenda ugomvi hata pasipo na ugomvi.Nenda kapewe na wewe Sasa 😭 utakufa bure Kwa utopolo wako 😂
huyu hapa mapema tuHahaaaaaaaaaaa wapiiiiii zeruzeruuuuuuuuu
Huyo jamaa ni utopolo haswa.duuu
Mkuu nimekurudia..Haya tusemezane sasa,unasemaje kuhusu matokeo ya mnyamaaaaaMnastreka gani mkuu nje?[emoji1787] ...........hata Mugalu kuna tukio lolote umemuona festi hafu? Bora mikia mcheze na false 9 tu
unajua lilibaki goli moja tu kuwa top of the group????? yes iwe hivyo labda ale mtu nne ila hizi kosakosa zinakera au kupata corners 20 matumizi yake 0...robo ni kivumbi kikubwa sanaakila mtu 4 kama hivi mbona fresh tu
Wekeni ball possession, watani waone