Simba SC acheni mambo ya kuteuana, wekeni ajira hewani wenye Sifa waombe

Simba SC acheni mambo ya kuteuana, wekeni ajira hewani wenye Sifa waombe

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Hii mambo ya kuteuana ndio inaleta watu kama kina Try Again , Mangungu, imani Kajula watu ambao uwezo wao kwenye football management ni mdogo sana.

Hii itasababisha kila kocha ataonekana hafai

Hizo nafasi zao tangazeni na watu wenye Sifa wataaply kisha mtawafanyia interview from independent committee na watawaletea watu wazuri kuliko mnachofanya sasa.

Watendaji wenye sifa na wataalam wa football managements wapo.

Wekeni mtendaji ambae, when it comes about scouting, anakuwa wa moto na hataki ujinga wa kuletewa watu aina ya Sarr sijui Jobe

Tangazeni kazi hizo hata mmi nitaaply, mpira ni biashara, toeni hizo mtu tatu zilizojaza ugali kichwani.

Pamoja na yote, tarehe 20 tabu ipo pale pale. Sio chini ya goli tatu. Na SSC next year out Champion league
 
Daaaaaaa HAKI wanasimbaa cc mpk tuseme mwakaa huu..maana Kila mtu n kutusimanga kwanzia asubuh mpk asubuh.
Mkuu npo Tyr km mpnz wa Simba kupokea hzo goli tatu kutoka Kwa yanga Ili maishà yaendelee
 
Umeongea facts sana ......unamteua kajula kuwa CEO...then anakuja na creativity ya kibegi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]( nje ya uwanja).


Badala ya kuwa na creativity ya kuimprove team
Mnalilia mpewe ajira za kushindaniwa halafu mkaihujumu timu?Mkavue samaki kwenye bwawa utopoloni.
 
Ajira za kujuana ndio zinaleta management mbovu
Kama kweli Simba wanataka wafike mbali waachane na Mambo ya kuteuana.
 
kwa mpira wa bongo kufika huko bado sana.mpira wa bongo ni hujma na kipango mingi nje ya uwanja,kwa kifupi ni tabia na hulka iliyokita mizizi kuifuta ni kipengele.
 
Umeongea facts sana ......unamteua kajula kuwa CEO...then anakuja na creativity ya kibegi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]( nje ya uwanja).


Badala ya kuwa na creativity ya kuimprove team
Unajua kazi za CEO lakini? Anahusika vipi na mambo ya kiufundi? Yeye ni top administrator anahakikisha masuala ya kiutawala sio mambo ya ndani ya pitch
 
Unajua kazi za CEO lakini? Anahusika vipi na mambo ya kiufundi? Yeye ni top administrator anahakikisha masuala ya kiutawala sio mambo ya ndani ya pitch
Usikariri......Kwenye football ni tofauti

Kazi ya CEO ni kuhakikisha anafanyia kazi report za kocha 100% Ili kuimprove team
 
Back
Top Bottom