Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Hahahaah mtani usijali nakuja.Mtani ujue bado nakusubiri uje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaah mtani usijali nakuja.Mtani ujue bado nakusubiri uje.
Hi Mkuu Katavi.Hahahaah mtani usijali nakuja.
Hi mkuu Makoye Matale , naona siku hizi full tabasamu wazee wa yanga.Hi Mkuu Katavi.
Ni kuridhika tu Mkuu na hali tuliyonayo. Kuna vita kuu mbele yetu, tunahitaji sapoti yenu wenye mapenzi mema na Tanzania. Tumechukiana na kuzomeana kati ya Simba na Yanga kwa muda mrefu sasa, tujiulize tumepata faida gani? Umefika wakati tubadilike, timu inapopeperusha bendera ya Taifa tuwe kitu kimoja, tuishangilie. Kwa wale wahafidhina wakae kimya tu lakini wasiwashangilie wageni pia.Hi mkuu Makoye Matale , naona siku hizi full tabasamu wazee wa yanga.
Hahahaah mimi niko tayari kuwaunga mkono.Ni kuridhika tu Mkuu na hali tuliyonayo. Kuna vita kuu mbele yetu, tunahitaji sapoti yenu wenye mapenzi mema na Tanzania. Tumechukiana na kuzomeana kati ya Simba na Yanga kwa muda mrefu sasa, tujiulize tumepata faida gani? Umefika wakati tubadilike, timu inapopeperusha bendera ya Taifa tuwe kitu kimoja, tuishangilie. Kwa wale wahafidhina wakae kimya tu lakini wasiwashangilie wageni pia.
Natanguliza shukrani kwa wote wa 'upande wa pili' mnaojiandaa kutuunga mkono.
Ni kuridhika tu Mkuu na hali tuliyonayo. Kuna vita kuu mbele yetu, tunahitaji sapoti yenu wenye mapenzi mema na Tanzania. Tumechukiana na kuzomeana kati ya Simba na Yanga kwa muda mrefu sasa, tujiulize tumepata faida gani? Umefika wakati tubadilike, timu inapopeperusha bendera ya Taifa tuwe kitu kimoja, tuishangilie. Kwa wale wahafidhina wakae kimya tu lakini wasiwashangilie wageni pia.
Natanguliza shukrani kwa wote wa 'upande wa pili' mnaojiandaa kutuunga mkono.