Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Team ya Simba chini ya miaka 20 imefanikiwa kuchukua kombe baada ya kuifunga team ya Azam Fc kwa mikwaju ya penalty 5-3 kabla ya hapo team hizi zilitoka sare ya 2-2 mchezo uliochwzwa kwa dakika 120.... Hongera team yangu ya Simba walindeni hao vijana