Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,377
- 1,861
Unavyoweka mkazo eti lazima aondoke utadhani una maamuzi yeyote kwenye uongozi wa simbaHuo muda ulikuwa ni muda upi?
Kwani matokeo mabaya tunayopata na Chama akiwemo tumewezaje kuvumilia?
Na vipi tukikuambia most ya hayo matokeo mabaya yamechangiwa na Chama mwenyewe?
Chama anaondoka Simba and you will never notice his gap
Nyinyi si ndio mliokuwa mnampinga Feitoto wakati anataka kuondokaWewe utalisha familia yake
Ndio maana yuko simbaAsingekuwa chama Leo mngeliwa nyii makolo.