xxtycoon
Member
- Jan 3, 2023
- 33
- 67
Kikosi cha simba kinazidi kupepea na kuitangaza Tanzania vizuri kimatafita ukiachana na kuwa vijana wengi pesa kwenye game yao dhidi ya horoya maana najua wengi waliweka Simba “Win”.
Sasa Wachezaji wanne kwenye kikosi cha wiki na wawili kugombania mchezaji bora wa wiki baada ya mechi 5 ni hatua nzuri kitimu na inaonesha ubora na ukubwa wa ligi ya Tanzania kwa ujumla.
Pongezi ziende kwa simba [emoji106] waendelee kuitangaza Tanzania vizuri na waendelee kufanikisha mikeka ya watu kuwin kwenye sports tournament kutoka sokabet.
Sasa Wachezaji wanne kwenye kikosi cha wiki na wawili kugombania mchezaji bora wa wiki baada ya mechi 5 ni hatua nzuri kitimu na inaonesha ubora na ukubwa wa ligi ya Tanzania kwa ujumla.
Pongezi ziende kwa simba [emoji106] waendelee kuitangaza Tanzania vizuri na waendelee kufanikisha mikeka ya watu kuwin kwenye sports tournament kutoka sokabet.