Simba SC Haijaandaliwa Kimfumo wa KNOCK-OUT-

Simba SC Haijaandaliwa Kimfumo wa KNOCK-OUT-

Mbona thread za utopolo kuhaha zimekuwa nyingi sana kuelekea mechi ya simba?
 
Pamoja na yote tukubali kuwa SSC haitoweza kucheza nusu fainali.

Hii ni kwasababu timu hiyo haijawahi kuandaliwa kwa mfumo wa knock out.

Ni kikosi kimoja tu mimi nakiita kikosi cha dhahabu chini ya Gomez ndiyo kilikuwa na uwezo wa kukaza ugenini, kushinda au kutoa suluhu. Mikisoni -Morisson -Chama, Bwalya -etc etc

Kikosi cha sasa SSC ni kile cha kula goli 5 ugenini , hata 10 . Asec angekuwa Serious kidogo angemla simba hata goli 10.

Ugenini simba inakuwa WEAK sana na inafungika kirahisi sana, huku Pablo akikosa uwezo wa kucheza away games.

Nasema kwamba SSC anaweza kushinda hata goli tatu pale LUPASO, kwa Hayati BWM , lakini akienda away hizo goli zinarudi kipindi cha kwanza tu.

Ndugu zangu tujiandae ki fikra ili kupunguza machungu, mpira sio matangazo au mihemko ya mashabiki, mpira ni investment na kuwa nawachezaji wenye uwezo wa kusababisha popote.

Naiombea SSC kheri lakini ukweli ni kwamba mpira sio dua, mpira ni ushindani na kuwa nawachezaji wa maana.

Mazingira ya SSC kutolewa ni asilimia 90 .

Sina imani na safu butu ya ushambuliaji na beki yenye kupwaya.

Time will tell
Kwangu huyo kocha Pablo ndio kocha wa hovyo zaidi kutokea Simba kwa miaka 4 iliyopita. Yaani ni Simba ndio inayombeba huyo kocha, kocha hana kipya na hadi leo hajui kikosi cha ushindi cha Simba. Kocha bora zaidi wa Simba ktk miaka 4 iliyopita Gomez. CAF wamewakosesha Simba bonge la kocha ingawa naye alijisahau sana kwa kutojiendeleza kielimu.

Vv

Vv
 
Achana na ng'ombe fc, msimu huu TPL ishakuwa yao, wana timu ambayo wakionheza nguvu kidogo tu wanaweza msimu ujao wakafanya vizuri michuano ya afrika.

Tudeal na mambo yetu sisi, TPL tunaikosa, na uwezekano wa kuvuka hapo ni mdogo kiukweli, tuweke nguvu tutoboe hapa, tuchukue na shirikisho hii itakuwa walau inatupoza machungu.
Tunawatakia kila lililo la kheri hao NG'OMBE FC katika michuano ya afrika.

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Hapo SSC hana kitu na watarudi kwenye Ligi wanayoiponda kila siku lakini ndo hiyo hiyo imewafikisha hapo walipo.unashinda nyumbani na unajisifu kwa Mkapa hawatoki lakini na wewe huko ugenini hutoki tena kwa goli nyingi,sasa nani mwenye faida na uwanja wake wa nyumbani?
 
Hapo SSC hana kitu na watarudi kwenye Ligi wanayoiponda kila siku lakini ndo hiyo hiyo imewafikisha hapo walipo.unashinda nyumbani na unajisifu kwa Mkapa hawatoki lakini na wewe huko ugenini hutoki tena kwa goli nyingi,sasa nani mwenye faida na uwanja wake wa nyumbani?

Heri Yanga yenyewe Ina uwezo wa kushinda nyumbani na ugenini!! Hapo vipi, umefurahi eeh!! Ilishinda Dar na huko Nigeria!! Ikakosa hata mpinzani ndio maana iliondoka mashindanoni!! Hapo vipi, umefurahi eeh!!
 
Wana 812,000,000 huko robo , akifika nusu Dola 450,000 ( 1,044,000,000).
Ila south patakua pagum sana
 
Back
Top Bottom