Simba SC haimtendei haki beki wa kimataifa, Mohammed Ouatara

Simba SC haimtendei haki beki wa kimataifa, Mohammed Ouatara

ToniXrated

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
1,134
Reaction score
2,993
Inashangaza sana mara baada ya beki aliyeisha makali yake, Joash Onyango kupeleka ombi la uhamisho kwa uongozi wa Klabu ya Simba, mambo yakaanza kubadilika kwa beki gwiji raia wa Ivory Coast Mohammed Ouatara, akaanza kusugulishwa benchi mfululizo.

Yaani toka kocha "Mzawa" Juma Mgunda atue Msimbazi, nafasi pekee anayoipata beki huyu imekuwa ni kukaa benchi tu. Huwa najiuliza, huyu beki Onyango anaogopwa pale Simba SC ama vipi?

Binafsi nikimlinganisha Ouatara dhidi ya Onyango naona kabisa Ouatara ni beki anayemzidi Onyango kwa mambo mengi mno. Kifupi jamaa ni beki haswa na combination yake na Inonga ilikuwa nzuri sana. Cha ajabu ni kuwa huyu Kocha Mgunda amekuwa akimpa nafasi ya nne katika chaguo lake la mabeki.

Hivi Onyango na Kennedy Juma wana nini cha kumzidi Momo Ouatara? Tuwe wa kweli, leo hii akija kocha yeyote kutoka nje anayejua mpira lazima atampa nafasi Ouatara dhidi ya hawa mabeki ambao wana spidi ya kobe na hawana hata udhibiti wa mpira achilia mbali kupiga tu pasi kuwa ni mtihani kwao.

Mgunda unajichongea kaburi lako mwenyewe kwa kuendekeza "Uzawa".
 
Ottara na Inonga wanacheza no moja so lazima uchague mmoja.

Onyango na Kenend wanacheza no moja so lazima uchague mmoja.

Huwe kumpanga Ottara na Inonga utapgwa goli za kutosha maana wote watacheza no 1 nan atakaba nani atamtuma mwenzake? Nan atakuwa kiongozi(rejea mechi ya yanga).

Then yule bwana ni mzito sana [emoji23][emoji23]
 
Sawa kisimi mchomoko nimekusikia!!
I think you have psychological problems hili ni jukwaa huru hvyo kila mtu ana uhuru wa kuchangia kutokana na mtazamo wake na simba na yanga ni watani sio maadui furaha ya shabiki wa yanga ni simba kufanya vibaya na furaha ya shabiki wa simba ni yanga kufanya vibaya hvyo huu utani wa hapa jf usikutie upofu mpaka ukatoka kwenye uhalisia na kumu attack mtu personal.
 
Hao wote wametukanana! Hivyo wanatakiwa kubadilika. Ni bora tukaendela na huu utani wetu wa kawaida.

Matusi hayana tija hata kidogo kwa watu wazima. Halafu eti chanzo ni utani tu wa Yanga na simba!
Yeah....ni kweli.
 
Hao wote wametukanana! Hivyo wanatakiwa kubadilika. Ni bora tukaendela na huu utani wetu wa kawaida.

Matusi hayana tija hata kidogo kwa watu wazima. Halafu eti chanzo ni utani tu wa Yanga na simba!
Kwahyo ulitaka ninyamaze? Wapi ktk hoja yangu juu nilitukana? Nilitoa hoja yy akaja kuni attack kwa kunitusi. Come on bro
 
I think you have psychological problems hili ni jukwaa huru hvyo kila mtu ana uhuru wa kuchangia kutokana na mtazamo wake na simba na yanga ni watani sio maadui furaha ya shabiki wa yanga ni simba kufanya vibaya na furaha ya shabiki wa simba ni yanga kufanya vibaya hvyo huu utani wa hapa jf usikutie upofu mpaka ukatoka kwenye uhalisia na kumu attack mtu personal.
Said it all..... great.
 
Back
Top Bottom