OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
tushaona jana tuna vikosi viwili na nusu hatuna presha...TABU YENU MAKOLO IPO PALE PALE kanjibai si anakaribia kukata tamaa!msimu huu ile tamaa ndo tunaikata mazimaView attachment 2696770
Achana na Bonanza la jana. Leo saa 7 mchana kinashuka chuma kingine.
Tetesi zinasema viongozi wameamua kuvunja benki. Taarifa ni kwamba katika kambi Uturuki ametua kipa kutoka Brazil π§π· Jafferson Luis aliyetambulishwa kwa wachezaji wenzake, lakini jana saa 7 mchana, Luis Mkandaji Miquissone naye alitambulishwa.
Tofauti na ilivyoripotiwa jana kwamba Simba imemsainisha kipa Mcameroon Simon Omossola anayetokea Saint Eloi Lupopo ya DR Congo. Ukweli ni kwamba Wekundu hao wamebadili gia na kumvuta Mbrazili Jafferson Luis mwenye miaka 29 aliyetambulishwa jana kambini Uturuki.
Kipa huyo Bora amesajiliwa kutoka Resende na baada ya Simba kumpiga chini Mcameroon, ambaye awali alipewa nafasi kubwa. Kipa huyo anatua Msimbazi kushindania namba na Aishi Manula aliye majeruhi.
Wewe si Yanga. Fullstop!!Mm ni YANGA DAMU ila simba mnanipa raha jaman [emoji91][emoji91]
Za kushindwa kuujaza uwanja hata nusu hata baada ya fungulia mbwa.Hangover za wananchi bado zinawasumbuwa.
Unajitia dole na kunijinusaVikosi viwili vya Yanga ndio habari ya mjini.
Hata kesho town vijiweni story itakuwa ni vikosi vya Yanga tu ambacho hajauzwa mbuzi kwenye gunia na sio Ng'ombe mlio.
Kwa sababu umezoea kutiwa madole basi unaona kila mtu ni choko mwenzio.Unajitia dole na kunijinusa
Anadaka mpaka matatizoJefferson View attachment 2696899
Hiyo ni tabia yenu huko avic town refer kabwiliKwa sababu umezoea kutiwa madole basi unaona kila mtu ni choko mwenzio.
Ila wewe jamaa kwa umalaya hakuna anayekufikia. Ulikuwa na Simba, ukawa na Rivers, ukawa na Marumo, ukawa na USMA, sasa hivi unajifanya upo na Yanga.Mimi ni Yanga damu Ila safari hii Simba mmeamua tuna hofu kubwa sana na kosi lenu, sema ndo vile tunajitutumua tu mmetisha sana watani tuoneeni huruma kidogo..