Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine hawaHiyo ni tabia yenu huko avic town refer kabwili
Urefu futi 6.2 na bado anaendelea kukuaJefferson Luis View attachment 2696899
Jamaa linatia kinyaa
Mnarudia tena makosa yale yale ya Mlete Mzungu na kocha wake Zoran. Kocha akiondoka, na mchezaji naye anaondoka.Jefferson Luis View attachment 2696899
Uzuri wa kikosi chetu hata nafasi ya kipa haikuwa ya muhimuMnarudia tena makosa yale yale ya Mlete Mzungu na kocha wake Zoran. Kocha akiondoka, na mchezaji naye anaondoka.
Hauko serious hata kidogo. Mlinda mlango wenu namba moja Aishi Manula ni majeruhi! Mlinda mlango namba 2 Benno Kakolanya amehamia timu nyingine!Uzuri wa kikosi chetu hata nafasi ya kipa haikuwa ya muhimu
Tatizo huyu kipa umemjaji kwa race na sio kwa uwezo.Hauko serious hata kidogo. Mlinda mlango wenu namba moja Aishi Manula ni majeruhi! Mlinda mlango namba 2 Benno Kakolanya amehamia timu nyingine!
Halafu unasema nafasi ya kioa haikuwa ya muhimu!!
Halafu umenielewa tofauti. Mimi sina tatizo na rangi yake. Nilichosema ni viongozi wako kurudia makosa ya msimu uliopita.Tatizo huyu kipa umemjaji kwa race na sio kwa uwezo.
Subiri muda ufike tutaona.
SIMBA mwaka wenu huu. Mshindwe wenyewe tuJefferson Luis View attachment 2696899
Hata hivyo kabla ya huyu kipa mbona kulikuwa na kipa mwingine aliyependekezwa na kocha lakini Simba wakamtemaHalafu umenielewa tofauti. Mimi sina tatizo na rangi yake. Nilichosema ni viongozi wako kurudia makosa ya msimu uliopita.
Kocha anakuja na mchezaji kutoka nchini kwake, halafu akiondoka na mchezaji naye anaanza kuzingua kama ilivyotokea kwa Mlete Mzungu
Tuliza kishundu hichoMnarudia tena makosa yale yale ya Mlete Mzungu na kocha wake Zoran. Kocha akiondoka, na mchezaji naye anaondoka.
AahaaaaaaMambo ya tetesi haya!!! we acha tuView attachment 2696849
Yani fikiria yule kipa karusu goli 35 huko kwao brazil akiwa hajalogwaMambo ya tetesi haya!!! we acha tuView attachment 2696849
Last season de gea pale epl caconced bao 40 na kachukua golden gloveYani fikiria yule kipa karusu goli 35 huko kwao brazil akiwa hajalogwa
nawaza Manula akipona cjui itakuaje