Naunga mkono hoja.Msimu wa klabu bingwa ukifika yanga wanakua malaya, kila timu ikija bongo wanaishangilia.
Soma vzuri comment yangu, nmesema tangu lini mtu achaguliwe team ya kushangilia? kama kuna mashabiki wa Plateau wanaoishi Tanzania mtawazuia? ile mechi sio mali ya Simba ni ya CAFBuddy wewe ni fan wa football kweli au umezamia tu huku?
Pira la mguu ni hisia zilizojaa mapenzi, huwezi kuwa unashangilia kila timu haiwezekani hata siku moja.
wale wahuni kule kwao walizuia mpaka waandishi wa habari wa simba afu sisi tujifanye wema sana tuwape mpaka mashabikiMpira wa bongo bana, tangu lini mtu ana chaguliwa team ya kushangilia?
inashangaza kwa kweli. badae kidogo wanahamia PlatnumzBuddy wewe ni fan wa football kweli au umezamia tu huku?
Pira la mguu ni hisia zilizojaa mapenzi, huwezi kuwa unashangilia kila timu haiwezekani hata siku moja.
mashabiki wanaotakiwa ni elfu 30 tu simba tnajitosheleza kaeni pembeni vyurahii haijakaa vema, as Simba fans, mpira ni burudani wacha watu wakaburudike so mashabiki wa Plateu sijui hawataruhusiwa. Tusibaguale kiasi hiki. Tumetoka kwenye maumivu ya election. Tena na huku waacheni Yanga waje tupambane uwanjani na nje ya uwanja. Uwanjani ni kabumbu, nje ni kwa hoja sote ni WATANZANIA natamani dola liingilie huu ni upuuzi hautakiwi
Sasa kama ni mechi ya CAF kwa nn plateau walizuia kurusha live mechi ya kwanza ingali so Mali yao?!... Simba wanayo haki ya kuamua nan wakumuuzia tiketi kama ambavyo plateau walivyo kuwa na haki ya either kuruhu kuonesha ama kutoionesha live mechi ya kwanza!!Soma vzuri comment yangu, nmesema tangu lini mtu achaguliwe team ya kushangilia? kama kuna mashabiki wa Plateau wanaoishi Tanzania mtawazuia? ile mechi sio mali ya Simba ni ya CAF
Kwan nin hamkusema hivi kwa plateau!!!!ni kwanini Simba hawajiamini kiasi hichi???
pleateau ni washenzi na wafitini na walifanya uhuni.Kwan nin hamkusema hivi kwa plateau!!!!
Kwan YANGA a.k.a utopolo mnajiamin!?? Kwanin muwafanyie vurugu mashibiki wengine viwanjani?!pleateau ni washenzi na wafitini na walifanya uhuni.
Swali: Kwa nini Simba hamjiamini kiashi hichi hadi mnaangaishwa na mashabiki wa Yanga ???
kwa nini simba mnakuwa waoga namna hii??Kwan YANGA a.k.a utopolo mnajiamin!?? Kwanin muwafanyie vurugu mashibiki wengine viwanjani?!
Tunajiamini sana ila tunalipiza kwa utopolo wanavyopiga fans wetu. Na akiingingia uto tutamnyonyoa vu.zi mamaeeni kwanini Simba hawajiamini kiasi hichi???
yani unataka umnyoe mwanaume mwezako nywele za upenuni?Tunajiamini sana ila tunalipiza kwa utopolo wanavyopiga fans wetu. Na akiingingia uto tutamnyonyoa vu.zi mamaee
1.Simba sio waoga Bali tunatumia haki yetu kama vile plateau walivyotumia haki yao!!?..kwa nini simba mnakuwa waoga namna hii??
Nani kamfanyia nani vurugu uwanjani??
Hivi hicho kikosi chenu mmekiandaa kweli??
Nini kitaleta tofauti pale getini kwamba huyu Simba na huyu yanga mbona mnahangaika
Huyu msemaji wa Simba ni tatizo kubwa kwa soka ya Tanzania...kushangilia timu pinzani ndiyo utamaduni wa ushabiki wa soka..Klabu ya Soka ya Simba imesema haitaruhusu Shabiki wa Klabu ya Yanga kuingia katika mchezo wao wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Plateau United mchezo utakaopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Klabu hiyo, Haji Manara amesema watazuia kuingia shabiki wa timu hiyo kutokana na mechi hiyo ni ya kwao.
“Mechi hii ni ya kwetu sio ya hisani, kama unataka kuzomea tulia nyumbani au ishia pale Mianzini au Keko”, amesema Manara.
Manara amesema endapo mashabiki hao wataingia katika uwanja huo, amewaasa mashabiki wa Simba SC wasiwafanyie vurugu na kuwapiga, amewaomba Mashabiki wa Simba kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo ili kuishangalia timu hiyo.
“Plateau United sio timu ya kubeza, tunataka tucheze Soka tuwaburudisha Wana Simba na kuwafunga katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, tutumie vizuri nafasi ya CAF kuruhusu Mashabiki Elfu 30 kuingia Uwanjani”, ameeleza Manara.
Simba SC itarudiana na Plateau United Desemba 5, 2020 katika Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam baada ya mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa mjini Jos nchini Nigeria kuondoka na ushindi wa bao 1-0.