Hivi imekuwaje hii michuano imepoteza mvuto ghafla.....
Still naikumbuka header ya ulimboka mwakingwe dhidi ya El merreikh. Kipindi hicho haya ni mashindano kweli.
Nimefuraishwa na maamuzi ya Simba kutoshiriki Kagame, michuano hiyo imepoteza uzito kwa sababu haina ratiba ya kueleweka pia hata mapinduzi cup wasingekuwa wanashiriki hayo ni mabonanza tu hayana umuhimu wowote
Hivi imekuwaje hii michuano imepoteza mvuto ghafla.....
Still naikumbuka header ya ulimboka mwakingwe dhidi ya El merreikh. Kipindi hicho haya ni mashindano kweli.
Hivi imekuwaje hii michuano imepoteza mvuto ghafla.....
Still naikumbuka header ya ulimboka mwakingwe dhidi ya El merreikh. Kipindi hicho haya ni mashindano kweli.
Uongozi wa Sasa wa Cecafa haufanyi vya kutosha kuboresha mashindano ikiwemo kutafuta wadhamini wengi zaidi na zawadi nzuri kwa washindi na maslahi kwa washiriki wengine hivyo yamepoteza mvuto.