OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hiyo tarehe 8 hatimaye imebaki siku 5 tu tutembeze kichapo cha mbwa koko. Tutawachakaza mpaka mashabiki wenu wakimbie uwanjani.
Wakati mnategemea mazali na kudra za Mungu mjiandae kisaikolojia kupokea kichapo cha kuchakaza.
Hamna kikosi cha kupambana na Simba Sc, Simba wanapiga mpira na kufanya chochote muda wowote na hakuna mtu wa kumzuia.
Tutawapelekea moto