Mikia kwa kujifariji bwana wamo, hata skendo za Mavugo mlikuwa mnajipa moyo hivo hivo lakini mwisho wa siku mnaishia kujipa moyo kwa akina Migomba na Mgosi.
Haaaaaaa haaaaaaaaa
Haha.. Kwanini Mkuu?
Mtu akisoma tu mwandiko wako lazima asisimuke maana unaandika kwa hisia mno...
Ni kama vile kumsikiliza Thobias Kifaru, Julio Kihwelo au Masau Bwire...
Utakuwa unaipenda sana Simba wewe...