Mwaka m1 nyuma Yanga kisinda alikua ndio star wa Yanga kiasi hadi alipouzwa yalitokea malalamiko kibao,lakini kwa sasa kisinda ukipanga first 11 ya Yanga hana nafasi,mwaka m1 nyuma makolo walikua wanadai level zao si za kusajili mchezaji wa kitanzania leo hii usajili wa kiyombo kwa madai yenu umetikisa africa,jiongeze kuanzia hapo tu koloNyie Yanga msimu ujao, mtateseka sana. Mtalia na kusaga meno!
Nakumbuka Shaffih Dauda aliwahi kusema ili Yanga awe bingwa asajiri wachezaji wa Simba ambao hawapewi nafasi kwenye kikosi cha kwanza. Maisha yanakwenda kasi sana.Mwaka m1 nyuma Yanga kisinda alikua ndio star wa Yanga kiasi hadi alipouzwa yalitokea malalamiko kibao,lakini kwa sasa kisinda ukipanga first 11 ya Yanga hana nafasi,mwaka m1 nyuma makolo walikua wanadai level zao si za kusajili mchezaji wa kitanzania leo hii usajili wa kiyombo kwa madai yenu umetikisa africa,jiongeze kuanzia hapo tu kolo
Hatari mkuuNakumbuka Shaffih Dauda aliwahi kusema ili Yanga awe bingwa asajiri wachezaji wa Simba ambao hawapewi nafasi kwenye kikosi cha kwanza. Maisha yanakwenda kasi sana.
[emoji1787][emoji1787]Duuu!
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote.
Mola awe nawe daima[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kila mtu anakunywa chai kama Mama mjamzitowaache kulalamika M-bet unalalamika wewe raia wa Buza hata chai ujanywa!
Ndo mmeamua kumsajili morrison?Nakumbuka Shaffih Dauda aliwahi kusema ili Yanga awe bingwa asajiri wachezaji wa Simba ambao hawapewi nafasi kwenye kikosi cha kwanza. Maisha yanakwenda kasi sana.
Katika hali ya kushangaza, Klabu ya Simba Sc imetumia Pasi kutoa logo za Sportpesa na kubandika logo za M-BET katika jezi za mazoezi, safari na hata vifaa vya mazoezi.
Kulishindikana nn kuprint jezi mpya angalau pisi 100 mkaweka hiyo logo ya MDHAMINI mpya??
Au hao SPORTPESA bado wanatangaza biashara kupitia nyie?? Ni AIBU sana kwa klabu inayojinasibisha kuwa kubwa Afrika.
Nimeambatanisha picha kwa ushahidi.View attachment 2291072
Unaona wivu unatamani ubanduliwe weweKatika hali ya kushangaza, Klabu ya Simba Sc imetumia Pasi kutoa logo za Sportpesa na kubandika logo za M-BET katika jezi za mazoezi, safari na hata vifaa vya mazoezi.
Kulishindikana nn kuprint jezi mpya angalau pisi 100 mkaweka hiyo logo ya MDHAMINI mpya??
Au hao SPORTPESA bado wanatangaza biashara kupitia nyie?? Ni AIBU sana kwa klabu inayojinasibisha kuwa kubwa Afrika.
Nimeambatanisha picha kwa ushahidi.View attachment 2291072