Simba SC ifikirie kumchukua kocha aliyeachwa na TP Mazembe

Simba SC ifikirie kumchukua kocha aliyeachwa na TP Mazembe

Mihayo hajaachwa, ile ni timu ya familia na Mihayo ni ndugu wa Mose Katumbi..atakuwa kabadilishiwa majukumu au kaenda kujiendeleza kielim
Mihayo ni kocha mzuri sana mwenye msimamo, strategy na vision na technically he is absolute best.

Ni kocha ambae anaeweza kuja kufanya reform ya SSC ikawa timu bora kuliko kukomaa na hawa wazungu Uchwara.

Ni kocha ambaye anaweza akamuweka Manula kando, anaweza kumuweka Bocco, Chama kando kwa maana anapenda wachezaji wenye focus ya kuelekea mbele pasipo kupoteza mipira au ku-hold mipira pasipo na sababu ya msingi; hapendi show game, anapenda magoli zaidi.

Anaweza kuishauri Simba nani asajiliwe ili timu iwe na safu ya ulinzi itakayoweza kuleta tija na ushindani wa dhati. Hapendi kuingililiwa kwenye kazi au umbea wa kina Matola kuchongea Makocha wakigeni.

Kubwa zaidi ni kocha mwenye msimamo na asiyependa kuyumbishwa.

Kama Mo yupo serious, basi awekeze kwa huyu kocha; na aache ubahili. Hakuna uchawi wala miujiza kwenye mpira tuache kujidangànya. Kishingo anampotezea muda, hana mbinu yoyote ya msingi na atawatia hasara huku mkijinadi kikosi kipana.

Kikosi kipana my foot!

Nashauri pia kuanzia Kishingo na Matola wote wakae kando; na kuweka benchi la uhakika likiongozwa na Mihayo.

Vinginevyo wapenzi wa SSC subirieni huzuni nyingine soonest kwenye Klabu Bingwa Africa; na Mo alivyo Immature; lazima mkonde maana this time atajitoa hadi uwekezaji.

Ukitizama mpira wa Simba na Yanga; ni dhahiri kishingo was blind technically na ndio sababu ya kufungwa.

Uchezaji wa Yanga ulikuwa very technically; hawakuwa na Mpango wa show game zisizo na tija; wachezaji walikuwa wanalinda; halafu ghafla wanahamisha mashumhulizi mbele;

ni kipindi hichi ndipo Mkude alikuwa anaelemewa Mpaka kufanya faulo iliyoleta Madhara, ni kipindi hichi Manula alikuwa akipata shida sana pale Golini, ni kipindi hicho Mo alikuwa hatulii kwenye kiti chake, ni kipindi hicho mashabiki wa SSC waliamini kwamba things are never easy, ni kipindi hicho mashbiki wa SSC walikuwa wakiomba japo watoke suluhu kutunza heshima mamluki.

Baada ya Mashambulizi kama hayo Yanga walikuwa wakirudi nyumba kutoa nafasi SSC wafanye show game zisizo na msingi wala kusababisha.

Hii ndio inaitwa akili ziada ya kocha ambayo kimsingi Kishingo ana miss that skill, na hakuweza kujua what was Yanga really doing throughout the Match; Kama hakuweza kustuka hili, honestly huyu sio kocha. But time will tell.

Nilisikitika sana Yanga kufunga Goli Moja; kulikuwa na uchochoro wa kufunga goli zaidi ya mbili; imeniuma, goli moja haikuwa hadhi ya Yanga kwa timu yenye uchochoro kama Simba.

View attachment 1383130
Pamphile Mihayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo jamaa alikuwa anabebwa na uzuri wa wachezaji aliokuwa nao Mazembe kabla, wachezaji wa Mazembe wameshuka viwango, na huyo namba 9 wao wanaemtegemea kwasasa hana lolote, juzi wametolewa nyumbani kwao na timu ya Morroco kwa aggregate ya 2-1, huyo striker kakosa penalti, na nafasi moja ya wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
tangu samatta aondoke Tp mazembe imefloop clb bingwa, na hata huyo striker wao Jackson Muleka amekuwa anafunga sana ligi ya congo iila kimataifa naona kama hana bahati vile
 
tangu samatta aondoke Tp mazembe imefloop clb bingwa, na hata huyo striker wao Jackson Muleka amekuwa anafunga sana ligi ya congo iila kimataifa naona kama hana bahati vile
hii timu kama inasajili kina Singano na yule mchezaji mwingine ambaye hata kupangwa hapangwi unategemea itarudia mafanikio yake
 
Mihayo hajaachwa, ile ni timu ya familia na Mihayo ni ndugu wa Mose Katumbi..atakuwa kabadilishiwa majukumu au kaenda kujiendeleza kielim

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwahiyo kapangiwa Majukumu au kaenda kusoma. Umesoma lettre Officiel qu’ils ont donné semaine passé ?

Ou bien vous parlez seulement; pourquoi vous êtes comme ça Mec !! Il faut que vous réfléchir avant d’ écrit
IMG_1394.JPG
 
Mihayo ni kocha mzuri sana mwenye msimamo, strategy na vision na technically he is absolute best.

Ni kocha ambae anaeweza kuja kufanya reform ya SSC ikawa timu bora kuliko kukomaa na hawa wazungu Uchwara.

Ni kocha ambaye anaweza akamuweka Manula kando, anaweza kumuweka Bocco, Chama kando kwa maana anapenda wachezaji wenye focus ya kuelekea mbele pasipo kupoteza mipira au ku-hold mipira pasipo na sababu ya msingi; hapendi show game, anapenda magoli zaidi.

Anaweza kuishauri Simba nani asajiliwe ili timu iwe na safu ya ulinzi itakayoweza kuleta tija na ushindani wa dhati. Hapendi kuingililiwa kwenye kazi au umbea wa kina Matola kuchongea Makocha wakigeni.

Kubwa zaidi ni kocha mwenye msimamo na asiyependa kuyumbishwa.

Kama Mo yupo serious, basi awekeze kwa huyu kocha; na aache ubahili. Hakuna uchawi wala miujiza kwenye mpira tuache kujidangànya. Kishingo anampotezea muda, hana mbinu yoyote ya msingi na atawatia hasara huku mkijinadi kikosi kipana.

Kikosi kipana my foot!

Nashauri pia kuanzia Kishingo na Matola wote wakae kando; na kuweka benchi la uhakika likiongozwa na Mihayo.

Vinginevyo wapenzi wa SSC subirieni huzuni nyingine soonest kwenye Klabu Bingwa Africa; na Mo alivyo Immature; lazima mkonde maana this time atajitoa hadi uwekezaji.

Ukitizama mpira wa Simba na Yanga; ni dhahiri kishingo was blind technically na ndio sababu ya kufungwa.

Uchezaji wa Yanga ulikuwa very technically; hawakuwa na Mpango wa show game zisizo na tija; wachezaji walikuwa wanalinda; halafu ghafla wanahamisha mashumhulizi mbele;

ni kipindi hichi ndipo Mkude alikuwa anaelemewa Mpaka kufanya faulo iliyoleta Madhara, ni kipindi hichi Manula alikuwa akipata shida sana pale Golini, ni kipindi hicho Mo alikuwa hatulii kwenye kiti chake, ni kipindi hicho mashabiki wa SSC waliamini kwamba things are never easy, ni kipindi hicho mashbiki wa SSC walikuwa wakiomba japo watoke suluhu kutunza heshima mamluki.

Baada ya Mashambulizi kama hayo Yanga walikuwa wakirudi nyumba kutoa nafasi SSC wafanye show game zisizo na msingi wala kusababisha.

Hii ndio inaitwa akili ziada ya kocha ambayo kimsingi Kishingo ana miss that skill, na hakuweza kujua what was Yanga really doing throughout the Match; Kama hakuweza kustuka hili, honestly huyu sio kocha. But time will tell.

Nilisikitika sana Yanga kufunga Goli Moja; kulikuwa na uchochoro wa kufunga goli zaidi ya mbili; imeniuma, goli moja haikuwa hadhi ya Yanga kwa timu yenye uchochoro kama Simba.

View attachment 1383130
Pamphile Mihayo
Siku nyingine usiwe una copy na kupest,
Kwa Simba na yanga nani ana magoli mengi kumzidi mwenzake?
Nani anaongoza kwa points?
Shoots on target kwenye mechi ya yanga nani alikuwa na nyingi?
Msiwe mnakalili, huyo kocha wa TP Mazembe kwanini ametimuliwa?
Uje na majibu ya kutosha baada ya kuwauliza wanywa kahawa wenzio huko mabandani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nyingine usiwe una copy na kupest,
Kwa Simba na yanga nani ana magoli mengi kumzidi mwenzake?
Nani anaongoza kwa points?
Shoots on target kwenye mechi ya yanga nani alikuwa na nyingi?
Msiwe mnakalili, huyo kocha wa TP Mazembe kwanini ametimuliwa?
Uje na majibu ya kutosha baada ya kuwauliza wanywa kahawa wenzio huko mabandani

Sent using Jamii Forums mobile app

Pest ?????
 
MO ni mswahili afadhari hata Manji, huyu coach ni bonge la coach lkn kwa mazingira ya mpira wa Tanzania hataweza hapa kwetu makocha wanapangiwa kikosi , usajiri hawashirikishwi mambo mengi ya hovyo tupu, kwa kocha anae jielewa ni ngumu sana kufanya kazi na team za hapa bongo
Mihayo anaweza kuifaa Simba. Anao uwezo mkubwa. Mwaka jana kaiwezesha TP Mazembe kufika nusu fainali katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika, wakatolewa kwa mbinde na mwaka huu kaifikisha TP Mazembe robo fainali wakiwa na kikosi kipya na baadhi ya wakongwe wachache.

Tatizo litakuja kama Mo anaweza kuhimili mshahara atakao hitaji, maana inaonekana Mo ni bahili.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MO ni mswahili afadhari hata Manji, huyu coach ni bonge la coach lkn kwa mazingira ya mpira wa Tanzania hataweza hapa kwetu makocha wanapangiwa kikosi , usajiri hawashirikishwi mambo mengi ya hovyo tupu, kwa kocha anae jielewa ni ngumu sana kufanya kazi na team za hapa bongo

Sent using Jamii Forums mobile app

Na hiyo ndio shida ya Simba: Halafu Mo hakupaswa kabisa kuingilia mambo ya timu.

Kwa kweli naanza kumuelewa Mzee Kilimoni.

Mo alitakiwa kujiweka zaidi upande wa uwekezaji sio kuingilia mambo ya Tachnical.

Kocha Mkuu yeye ndio Manager na ndio ana overview opérations zote za klabu na bajeti ya Usajili na aina ya Usajili yeye ndio ana propose.

Cha ajabu Mo yeye ndio anafanya haya mambo ; Kocha ana nafasi gani.?

Kwa Tabia hizi ni kweli hatowezana na Mihayo. Mihayo is a free 🦅 bird. He wants to make things on his own perspective and not being influenced by Top dogs.
 
Mihayo ni kocha mzuri sana mwenye msimamo, strategy na vision na technically he is absolute best.

Ni kocha ambae anaeweza kuja kufanya reform ya SSC ikawa timu bora kuliko kukomaa na hawa wazungu Uchwara.

Ni kocha ambaye anaweza akamuweka Manula kando, anaweza kumuweka Bocco, Chama kando kwa maana anapenda wachezaji wenye focus ya kuelekea mbele pasipo kupoteza mipira au ku-hold mipira pasipo na sababu ya msingi; hapendi show game, anapenda magoli zaidi.

Anaweza kuishauri Simba nani asajiliwe ili timu iwe na safu ya ulinzi itakayoweza kuleta tija na ushindani wa dhati. Hapendi kuingililiwa kwenye kazi au umbea wa kina Matola kuchongea Makocha wakigeni.

Kubwa zaidi ni kocha mwenye msimamo na asiyependa kuyumbishwa.

Kama Mo yupo serious, basi awekeze kwa huyu kocha; na aache ubahili. Hakuna uchawi wala miujiza kwenye mpira tuache kujidangànya. Kishingo anampotezea muda, hana mbinu yoyote ya msingi na atawatia hasara huku mkijinadi kikosi kipana.

Kikosi kipana my foot!

Nashauri pia kuanzia Kishingo na Matola wote wakae kando; na kuweka benchi la uhakika likiongozwa na Mihayo.

Vinginevyo wapenzi wa SSC subirieni huzuni nyingine soonest kwenye Klabu Bingwa Africa; na Mo alivyo Immature; lazima mkonde maana this time atajitoa hadi uwekezaji.

Ukitizama mpira wa Simba na Yanga; ni dhahiri kishingo was blind technically na ndio sababu ya kufungwa.

Uchezaji wa Yanga ulikuwa very technically; hawakuwa na Mpango wa show game zisizo na tija; wachezaji walikuwa wanalinda; halafu ghafla wanahamisha mashumhulizi mbele;

ni kipindi hichi ndipo Mkude alikuwa anaelemewa Mpaka kufanya faulo iliyoleta Madhara, ni kipindi hichi Manula alikuwa akipata shida sana pale Golini, ni kipindi hicho Mo alikuwa hatulii kwenye kiti chake, ni kipindi hicho mashabiki wa SSC waliamini kwamba things are never easy, ni kipindi hicho mashbiki wa SSC walikuwa wakiomba japo watoke suluhu kutunza heshima mamluki.

Baada ya Mashambulizi kama hayo Yanga walikuwa wakirudi nyumba kutoa nafasi SSC wafanye show game zisizo na msingi wala kusababisha.

Hii ndio inaitwa akili ziada ya kocha ambayo kimsingi Kishingo ana miss that skill, na hakuweza kujua what was Yanga really doing throughout the Match; Kama hakuweza kustuka hili, honestly huyu sio kocha. But time will tell.

Nilisikitika sana Yanga kufunga Goli Moja; kulikuwa na uchochoro wa kufunga goli zaidi ya mbili; imeniuma, goli moja haikuwa hadhi ya Yanga kwa timu yenye uchochoro kama Simba.

View attachment 1383130
Pamphile Mihayo
Sawa bwana Mihayo tumekusikia
 
Back
Top Bottom