Simba SC ikifanya haya tu Mashabiki wake wataendelea Kunenepa na itarejea katika Soka lake lile la uhakika huku wakiyasahau Machungu yote

Simba SC ikifanya haya tu Mashabiki wake wataendelea Kunenepa na itarejea katika Soka lake lile la uhakika huku wakiyasahau Machungu yote

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
1. Ikubali kuwa Msimu huu Yanga SC imesajili vyema na imedhamiria Kivitendo kufanya vyema na kuwa Mabingwa wa NBC Premier League..

2. Ikubali kuwa Msimu huu imesajili Kimihemko na vibaya zaidi kama walivyowahi kufanya Wapinzani wao Yanga SC kwa Misimu Miwili mfululizo hivyo wanatakiwa ( mnatakiwa ) kuwa Wavumilivu na Wapole pia.

3. Ikubali kuwa huenda Wachezaji wake wana Uchovu mkubwa ( Fatigue ) hasa baada ya kutumia Nguvu Kubwa katika Mechi za Ligi Kuu iliyomalizika ya VPL na Michuano ya Klabu Bingwa Afrika ( CAF CL )

4. Ikubali kuwa kwa sasa ndani ya Kikosi kuna Presha Kubwa na Wachezaji wake wanahitaji haraka msaada wa Kisaikolojia.

5. Ikubali kuwa kuwaacha ( tena Kuwatenga ) mpaka Kuwadharau Wazee ni sehemu pia ya Laana zao kwa Klabu kwani akina CEO Barbara Gonzalez na Mwenyekiti wa Wanachama Murtaza Mangungu wanawapuuza na hawataki kupokea Ushauri wao.

6. Ikubali kuwa Ligi Kuu ya Safari hii ( NBC Premier League ) ni Ngumu, ya Kiushindani na kila Timu inautaka Ubingwa ili izinyakue Shilingi Milioni 500 zilizotengwa.

7. Ikubali kuwa katika Mchezo ( hasa Soka ) kuna Matokeo makubwa Matatu tu ambayo ni Kushinda, kutoka Sare na Kufungwa ambayo kama Mwanamichezo unatakiwa Uyaheshimu.

8. Ikubali kuwa Wachezaji wao ( wake ) hawana Stamina ( Nguvu ) na wanacheza Kiulaini / Kinyoronyoro mno hali ambayo inawapa wakati Mgumu hasa Kiuchezaji pale wakikutana na Timu zenye Wachezaji Wagumu kama ya Prisons FC ya Mbeya, Ruvu Shooting FC na Namungo FC.
 
1. Ikubali kuwa Msimu huu Yanga SC imesajili vyema na imedhamiria Kivitendo kufanya vyema na kuwa Mabingwa wa NBC Premier League..

2. Ikubali kuwa Msimu huu imesajili Kimihemko na vibaya zaidi kama walivyowahi kufanya Wapinzani wao Yanga SC kwa Misimu Miwili mfululizo hivyo wanatakiwa ( mnatakiwa ) kuwa Wavumilivu na Wapole pia.

3. Ikubali kuwa huenda Wachezaji wake wana Uchovu mkubwa ( Fatigue ) hasa baada ya kutumia Nguvu Kubwa katika Mechi za Ligi Kuu iliyomalizika ya VPL na Michuano ya Klabu Bingwa Afrika ( CAF CL )

4. Ikubali kuwa kwa sasa ndani ya Kikosi kuna Presha Kubwa na Wachezaji wake wanahitaji haraka msaada wa Kisaikolojia.

5. Ikubali kuwa kuwaacha ( tena Kuwatenga ) mpaka Kuwadharau Wazee ni sehemu pia ya Laana zao kwa Klabu kwani akina CEO Barbara Gonzalez na Mwenyekiti wa Wanachama Murtaza Mangungu wanawapuuza na hawataki kupokea Ushauri wao.

6. Ikubali kuwa Ligi Kuu ya Safari hii ( NBC Premier League ) ni Ngumu, ya Kiushindani na kila Timu inautaka Ubingwa ili izinyakue Shilingi Milioni 500 zilizotengwa.

7. Ikubali kuwa katika Mchezo ( hasa Soka ) kuna Matokeo makubwa Matatu tu ambayo ni Kushinda, kutoka Sare na Kufungwa ambayo kama Mwanamichezo unatakiwa Uyaheshimu.

8. Ikubali kuwa Wachezaji wao ( wake ) hawana Stamina ( Nguvu ) na wanacheza Kiulaini / Kinyoronyoro mno hali ambayo inawapa wakati Mgumu hasa Kiuchezaji pale wakikutana na Timu zenye Wachezaji Wagumu kama ya Prisons FC ya Mbeya, Ruvu Shooting FC na Namungo FC.
Utamwachaje Chikwende na kumsajili Bnd!
Utatumiaje wachezaji wachache mda mrefu wakati unajinasibu una kikosi kipana!
Wanauwa vipaji vya wachezaji bure.
Kanu Ana jipya gani la kumshinda Ajibu au Mkude!
Wachezaji wapewe muda kurejesha vipaji vyao.
Nakubaliana nawe, Fatigue na pressure ya matokeo
 
Simba wamesajili vivulana tu na J5 wanapigwa na kina Chores na Mornings Ndama Falcao.
 
Sasa hivi Kidau na Karia wame relax kabisa. Ngoja kuelekea katika kumalizika kwa msimu watakavyoteseka
 
1. Ikubali kuwa Msimu huu Yanga SC imesajili vyema na imedhamiria Kivitendo kufanya vyema na kuwa Mabingwa wa NBC Premier League..

2. Ikubali kuwa Msimu huu imesajili Kimihemko na vibaya zaidi kama walivyowahi kufanya Wapinzani wao Yanga SC kwa Misimu Miwili mfululizo hivyo wanatakiwa ( mnatakiwa ) kuwa Wavumilivu na Wapole pia.

3. Ikubali kuwa huenda Wachezaji wake wana Uchovu mkubwa ( Fatigue ) hasa baada ya kutumia Nguvu Kubwa katika Mechi za Ligi Kuu iliyomalizika ya VPL na Michuano ya Klabu Bingwa Afrika ( CAF CL )

4. Ikubali kuwa kwa sasa ndani ya Kikosi kuna Presha Kubwa na Wachezaji wake wanahitaji haraka msaada wa Kisaikolojia.

5. Ikubali kuwa kuwaacha ( tena Kuwatenga ) mpaka Kuwadharau Wazee ni sehemu pia ya Laana zao kwa Klabu kwani akina CEO Barbara Gonzalez na Mwenyekiti wa Wanachama Murtaza Mangungu wanawapuuza na hawataki kupokea Ushauri wao.

6. Ikubali kuwa Ligi Kuu ya Safari hii ( NBC Premier League ) ni Ngumu, ya Kiushindani na kila Timu inautaka Ubingwa ili izinyakue Shilingi Milioni 500 zilizotengwa.

7. Ikubali kuwa katika Mchezo ( hasa Soka ) kuna Matokeo makubwa Matatu tu ambayo ni Kushinda, kutoka Sare na Kufungwa ambayo kama Mwanamichezo unatakiwa Uyaheshimu.

8. Ikubali kuwa Wachezaji wao ( wake ) hawana Stamina ( Nguvu ) na wanacheza Kiulaini / Kinyoronyoro mno hali ambayo inawapa wakati Mgumu hasa Kiuchezaji pale wakikutana na Timu zenye Wachezaji Wagumu kama ya Prisons FC ya Mbeya, Ruvu Shooting FC na Namungo FC.
THREAD BORA YA KUFUNGULIA MWEZI NOVEMBA
 
Back
Top Bottom