Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari
Naona mapambio ni mengi sana kuhusu ubora wanaoonesha simba ,kuna viumbe vimeenda mbali na kumaliza hesabu kuwa tayari kombe la linaingia msimbazi.
Mimi binafsi nikiwa na akili timamu nasema hivi simba hana uwezo Wa kuchukua club bingwa Afrika, yuko vizuri ila hana nyota na hilo kombe.
Uzi tayari
Naona mapambio ni mengi sana kuhusu ubora wanaoonesha simba ,kuna viumbe vimeenda mbali na kumaliza hesabu kuwa tayari kombe la linaingia msimbazi.
Mimi binafsi nikiwa na akili timamu nasema hivi simba hana uwezo Wa kuchukua club bingwa Afrika, yuko vizuri ila hana nyota na hilo kombe.
Uzi tayari