Simba SC iko vizuri ila suala la kuchukua Klabu Bingwa Afrika akili na mwili vinakataa

Simba SC iko vizuri ila suala la kuchukua Klabu Bingwa Afrika akili na mwili vinakataa

Habari

Naona mapambio ni mengi sana kuhusu ubora wanaoonesha simba ,kuna viumbe vimeenda mbali na kumaliza hesabu kuwa tayari kombe la linaingia msimbazi.

Mimi binafsi nikiwa na akili timamu nasema hivi simba hana uwezo Wa kuchukua club bingwa Afrika, yuko vizuri ila hana nyota na hilo kombe.


Uzi tayari
Wewe nani?

Comment tayari.
 
Habari

Naona mapambio ni mengi sana kuhusu ubora wanaoonesha simba ,kuna viumbe vimeenda mbali na kumaliza hesabu kuwa tayari kombe la linaingia msimbazi.

Mimi binafsi nikiwa na akili timamu nasema hivi simba hana uwezo Wa kuchukua club bingwa Afrika, yuko vizuri ila hana nyota na hilo kombe.


Uzi tayari
Ukisema Simba haiwezi kuchukua ubigwa wa Afrika eti kisa haina nyota, ninakua na mashaka na uwezo wako wa kufikiri. Kitaaluma hakuna kitu kinachoitwa nyota, neno nyota limekaa kiimani zaidi na ni hoja dhaifu kuitumia unapotoa hukumu kwenye mambo yaliyokaa kitaaluma zaidi kama haya.

Kuhusu suala la Simba kuchukua ubingwa wa Afrika mbona lilishaongelewa kuwa target kubwa ya timu ni kufika nusu fainali, na kama ikitokea ikachua ubingwa kwani tatizo liko wapo maana hapo timu itakua imevuka malengo yaani kama kwenye asilimia, mafanikio ya timu yataku yamekua asilimia 100.

NB: Ukiachana na hoja niliyoitoa hapo juu kabisa nilipokua najaribu kukuweka sawa kuhusu suala la nyota kwenye uhalisia wa taaluma kwamba hicho kitu hakipo. Nipe sababu zingine, kwa nini Simba haiwezi kuchukua ubingwa wa Afrika safari hii..?
 
Yaani Simba hii hii inayotolewa kamasi uwanjani na Prisons na Ruvu Shootings ndiyo ichukue Ubingwa wa Afrika!

Ikifanikiwa kutwaa huo Ubingwa, haki ya nani nitaenda kuchukua kadi ya ccm na kuwa mwanachama wao mtiifu! 😇
Na mimi nikuambie tu kuwa, anza kuandaa nauli ya kwenda kuichukua hiyo kadi yako..
 
Hapa nawaza tu huko club bingwa dunia,tutakutana na wakina nani huko,pengine ule usemi"tunawataka Bayern Sasa";ukatimia (kama Bayern watachukua huko,Simba huku uhakika)
 
Mashabiki wa Yanga akili zao bwana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nafikiri unatakiwa ukapimwe akili.
Mimi nilifikiri kila mtu huku duniani anapambana Ili kufaulu.
Hii akili sijui inatokea wapi
 
Naona Ligi imesimama mmeanza kunenepa na kuongea ovyo



Ligi inarudi wiki ijayo
 
Yaani Simba hii hii inayotolewa kamasi uwanjani na Prisons na Ruvu Shootings ndiyo ichukue Ubingwa wa Afrika!

Ikifanikiwa kutwaa huo Ubingwa, haki ya nani nitaenda kuchukua kadi ya ccm na kuwa mwanachama wao mtiifu! 😇
Mkuu bila Shaka wewe kwenye ukoo wenu Kuna damu ya CCM
 
Habari

Naona mapambio ni mengi sana kuhusu ubora wanaoonesha simba ,kuna viumbe vimeenda mbali na kumaliza hesabu kuwa tayari kombe la linaingia msimbazi.

Mimi binafsi nikiwa na akili timamu nasema hivi simba hana uwezo Wa kuchukua club bingwa Afrika, yuko vizuri ila hana nyota na hilo kombe.


Uzi tayari
Hakuna aliyesema hivyo lengo letu ni kufika nusu fainali
 
Huu ukweli wanasimba hawataki kuusikia
We kajamaa kipindi nimejiunga JF nlikua nadhani una akili coz ulikua unapenda kureply kila uzi mpaka ukala ban. Ila nlipoanza kukufuatilia nkagundua huna maajabu upo upo tu.
 
Naona utopolo kupanua goli na kuwa pana toka Kona moja hadi Kona nyingine, ili wawe na uhakika wa kufunga!! Wamekuwa wakipanus goli kila Mara na kuangukia pua!!
Niwakumbushe tu kuwa lengo la Simba alilopewa kocha ni kufika robo fainali. Lengo Hilo tumeshalifikia! Simba imejiwekea lengo la ziada kwa Sasa Ni kufika nusu fainali!!
Lengo la kufika nusu fainali likifanikiwa ndipo tutaweka lengo lingine!
 
We kajamaa kipindi nimejiunga JF nlikua nadhani una akili coz ulikua unapenda kureply kila uzi mpaka ukala ban. Ila nlipoanza kukufuatilia nkagundua huna maajabu upo upo tu.
Whatever you say, it has nothing to do w/m..

Usilazimishe mitizamo ifanane kisa wewe unaipenda Simba ndio unilazimishe nami niipende

Yanga nitabaki nayo daima hata useme nini

Heri yako wewe una maajabu na haupo haupo[emoji1787][emoji23]
 
Tunajua Utopolo ndo uwoga wao uliobaki maana hawana pakuweka nyuso zao, na mzidishe maombi sana simba isichukue maana kama ni uwezo wakuchukua upo na nia pia ipo ila mwisho wa siku dak 90 ndo zinaamua nani atabeba

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Yaani Simba hii hii inayotolewa kamasi uwanjani na Prisons na Ruvu Shootings ndiyo ichukue Ubingwa wa Afrika!

Ikifanikiwa kutwaa huo Ubingwa, haki ya nani nitaenda kuchukua kadi ya ccm na kuwa mwanachama wao mtiifu! [emoji56]
Utajipa maradhi makubwa makubwa bila sababu ya msingi.
 
Mtanisamehe wana simba....


Wydad Casablanca my favourite team..

Wydad Casablanca or Al ahly, kati yao anaondoka na ndoo mazima...



Wydad oyeee 🔥🔥🔥
Hii al ahl ya pisto motosiyomane imeshuka sana kiuwezo baada ya huyo mtegemea tunguri wa SA kuanza kuifundisha. Simba akishinda Cairo anaweza kwenda fainali.
 
Back
Top Bottom