Simba SC iko vizuri ila suala la kuchukua Klabu Bingwa Afrika akili na mwili vinakataa

Pain killer

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
14,361
Reaction score
21,680
Habari

Naona mapambio ni mengi sana kuhusu ubora wanaoonesha simba ,kuna viumbe vimeenda mbali na kumaliza hesabu kuwa tayari kombe la linaingia msimbazi.

Mimi binafsi nikiwa na akili timamu nasema hivi simba hana uwezo Wa kuchukua club bingwa Afrika, yuko vizuri ila hana nyota na hilo kombe.


Uzi tayari
 
Mtanisamehe wana simba....


Wydad Casablanca my favourite team..

Wydad Casablanca or Al ahly, kati yao anaondoka na ndoo mazima...



Wydad oyeee 🔥🔥🔥
 
Kigumu kipi, mashindano makubwa tofauti tofaiti duniani yameshatuletea mabingwa wasiotarajiwa.. So kwakikosi cha simba wakijikaza inawezekana, naona wamepata mwalimu mzuri anaweza kucheza game za away vizuri, hivyo robo fainali wanaweza kupata kibonde.. Nusu fainali wakakutana na mziki, ni kujikaza ugenini, kumalizia game nyumbani..

Fainali msimu huu ni game moja tu, unapiga kufa na kupona unashangaa ubingwa huu hapa..

Marseille, ajax, monaco kwa vipindi tofauti tofauti waliushangaza ulimwengu wa wapenzi wa uefa champions league

Dernmark uero 92
Ugiriki euro 2004.
 
Akili ya kitumwa utaijua tu! Wanaochukua hicho kikombe wana miguu mitatu au??
Siyo lazima Simba wachukue japo wanaweza kuchukua.
 
Mliokuwa mnaimba mapambio kwamba Simba haiwezi kufika hatua ya makundi naona mnabadili beti kila hatua. Mimi nasema endeleeni kuimba wimbo ule ule wa kutofika makundi, sio mkiona imefika makundi mnahamia haifiki robo, imefika robo mnahamia haichukui ubingwa. Endeleeni na ule wimbo wa kwanza kwamba haiingii makundi
 
Huu ukweli wanasimba hawataki kuusikia
 
Huu ukweli wanasimba hawataki kuusikia
Huu ukweli ungesemwa na Mamelodi Sundowns au Esperance de Tunis, walau tungeusikia. Lakini sio utoke kwa Yanga au Vita, timu ambazo zipo chini yetu kwa mbaali, hatuwezi kuwasikiliza wapuuzi
 
Huu ukweli ungesemwa na Mamelodi Sundowns au Esperance de Tunis, walau tungeusikia. Lakini sio utoke kwa Yanga au Vita, timu ambazo zipo chini yetu kwa mbaali, hatuwezi kuwasikiliza wapuuzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda ni mwalimu mzuri
 
Tangu lini timu inayoshika nafasi ya 74 kwa ubora África ikamshauri anayeshika nafasi ya 13!??

Maisha yanaenda kasi sana: Mukoko Tonombe anahojiwa anasema dream yake kubwa ni kuja kuichezea Simba Sc 😀
 
Yaani Simba hii hii inayotolewa kamasi uwanjani na Prisons na Ruvu Shootings ndiyo ichukue Ubingwa wa Afrika!

Ikifanikiwa kutwaa huo Ubingwa, haki ya nani nitaenda kuchukua kadi ya ccm na kuwa mwanachama wao mtiifu! 😇
 
Yaani Simba hii hii inayotolewa kamasi uwanjani na Prisons na Ruvu Shootings ndiyo ichukue Ubingwa wa Afrika!

Ikifanikiwa kutwaa huo Ubingwa, haki ya nani nitaenda kuchukua kadi ya ccm na kuwa mwanachama wao mtiifu! 😇
Mi nadhani kama upo Dar ungetembea uchi kuanzia msimbazi hadi Kimara Suka ingependeza zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…