Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
- Thread starter
-
- #21
Uko sahihi kabisa na mimi ndiyo maana nimekuwa nasema itachukua muda mrefu sana hii timu kukaa sawa maana hata wanaotakiwa kurekebisha nao ni chanzo cha tatizo.
Kuanzia wanaohusika na usajili, management inayoendesha shughuli za kila siku za timu, timu nzima ya ufundi na kambi huko kote kumeoza. Matatizo ya uwanjani ya Simba yanaanzia kwenye uwanja wa mazoezi. Unarudi Bodi ya Wakurugenzi unakutana na kina Asha Baraka na mifumo na taratibu zilizopitwa na wakati, zilizojaa siasa na ambazo haziruhusu uwajibikaji.
Baadhi ya haya mambo nimeshayasema sana.
Kutokana na kelele nyingi, Simba haikuwa inacheza mpira aliokuwa anataka Robertinho
Nakumbuka kuangalia clip moja ya Mwalimu Nyerere akisema "kama ilivyo kwa UKRISTO, dunia haijawahi kuufuata UJAMAA kwa asilimia 100" kwa maana hiyo ni ngumu au siyo sahihi kuhukumu kama mitazamo na mifumo hiyo ni sahihi au siyo wakati haijawahi kufuatwa kikamilifu. Simba ya kipindi cha Juma...www.jamiiforums.com
Maandalizi ya kipigo cha goli 5 yalifanyika kwa miaka 2
Kuna mengi nimekuwa naelezea humu ndani kwa muda mrefu ila nadhani nilikuwa sieleweki ila nadhani sasa mtanielewa. Yanga haiwezi kumfunga Simba goli 5 katika mazingira yoyote ya kawaida na pamoja na mafanikio yoote ya Yanga, moja ya kitu ambacho walikuwa wanatamani kukifanikisha ili kweli...www.jamiiforums.com
Ni vitu vya hovyo, kuna kina kaburu, kaduguda wote hawa ni old school mentality hakuna
Jipya. Mpira wa sasa unahitaji
Vijana wenye new ideas
Kuna kina janabi …… hawa watu wa nini wazee hawana ishu au anaenda kuchoma watu sindano
Wabaki kuwa washauri
Somewhere hata MO ni sehem ya tatizo