Simba SC inahitaji REFORMS

Simba SC inahitaji REFORMS

Uko sahihi kabisa na mimi ndiyo maana nimekuwa nasema itachukua muda mrefu sana hii timu kukaa sawa maana hata wanaotakiwa kurekebisha nao ni chanzo cha tatizo.

Kuanzia wanaohusika na usajili, management inayoendesha shughuli za kila siku za timu, timu nzima ya ufundi na kambi huko kote kumeoza. Matatizo ya uwanjani ya Simba yanaanzia kwenye uwanja wa mazoezi. Unarudi Bodi ya Wakurugenzi unakutana na kina Asha Baraka na mifumo na taratibu zilizopitwa na wakati, zilizojaa siasa na ambazo haziruhusu uwajibikaji.

Baadhi ya haya mambo nimeshayasema sana.



Ni vitu vya hovyo, kuna kina kaburu, kaduguda wote hawa ni old school mentality hakuna
Jipya. Mpira wa sasa unahitaji
Vijana wenye new ideas

Kuna kina janabi …… hawa watu wa nini wazee hawana ishu au anaenda kuchoma watu sindano

Wabaki kuwa washauri

Somewhere hata MO ni sehem ya tatizo
 
Hilo ndio ninaloweza kusema. Tatizo hata kocha mpya haitosaidia kama itaendelea kuwa na njemba hizi hizi

Ukweli wachezaji wamechoka , hata wao hawajui tena nini cha kufanya . Wame offer all that they have. Na tukubali kuwa uwezo wao umegotea hapo.

Ukiangalia Yanga, mpira wake ……. Hata wakirudiana na SSC mara 10 , SSC bado itafungwa goli sio chini ya 5 .

Yaani SSC haina mipango endelevu, mpaka timu inafikia hatua hii. Literally tumejaza watu wa hovyo kwenye management.

SSC inahitaji reforms kuanzia management,

Benchi la Ufudi

na wachezaji.

hili la kocha ni moja Kati ya hayo manne.

Ukisolve ishu ya kocha ukaacha management na benchi la ufundi lilelile…….. na wachezaji wale wale bado hujatatua tatizo.

Ili kutatua tatizo la sasa kwa SSC. Ni lazima benchi la ufundi lisafishwe,

management isafishwe na kukwekwa vijana wenye IQ na chachu ya mabadiliko kwenye nafasi za CEO,

kusafisha wachezaji almost wote kuanzia Kennedy , chama, Mikison M Hussein, Saido , Boko , Marasta etc etc kwa sasa hawana Tena cha ku offer , wana tafuta riziki tu , we respect them but prime yao ilishaisha na tunakumbuka history zao but kwa sasa organization goals na goals zao ni tofauti….. we must accept hilo if we are to prosper

Chama bado yupo SSC kupitia background yake tu but sio kiutendaji …… mikison the same ….. Saido sijui hata aliingiaje SSC , tunaviongozi vichwa maji wasiokuwa na future wala akili , kazi kupoteza muda kwenye mitandao kwa kumtumia yule kijana wa mipasho na hashua. Investment kubwa ipo kwa social media , kwenye pitch ni mtihani

SSC ni kusajili vijana under 30 wenye kasi na nguvu kama walivofanya wenzenu Yanga.

Kuteaua independent Committee ya Scouting isiyoingililiwa na itakuwa reliable for whatever…..

tofauti na hapo mtamtafuta mchawi na hamtompata unless mkienda kumuangalia kwenye kioo ndio mtamuona.


Huwezi kutatua matatizo yale yale kwa kutumia management ile ile , wachezaji wale wale , bench la ufundi lile lile……. Never on earth
emoji290.png


This time robo fainali hamtoboi

HM
Hao Simba unaowataja wafanye mabadiliko ni akina nani? Kwa mandate ipi?

Huenda wewe unaona tatizo kumbe hata unaohisi ndo tatizo na wao wanatafuta chanzo cha tatizo ni kipi.
Ni vitu vya hovyo, kuna kina kaburu, kaduguda wote hawa ni old school mentality hakuna
Jipya. Mpira wa sasa unahitaji
Vijana wenye new ideas

Kuna kina janabi …… hawa watu wa nini wazee hawana ishu au anaenda kuchoma watu sindano

Wabaki kuwa washauri

Somewhere hata MO ni sehem ya tatizo
 
Nikimtazama Luis anavyocheza nawaza Sana yatakua maajabu Kama hawataachana nae dirisha dogo.
Che Malone hakuna kitu
Kidogo ngoma.
Onana hamna kitu temeni
Kramo temeni
Chama temen
Kapombe temeni
Mzamiru temeni
Bocco tema Mara mbili
Ayubu temeni
Saidoo temeni
Kanoute temen.

Benchi la ufundi tema wote.

Viongozi tema wote rudisha Babra na vijana wapya.

Try na mangungu hata sura zao tu zinnasadifu mengi Sana hao watu.
Wakitemwa wote hao kwa mkupuo, timu itacheza playoff, ama muipe kazi TFF ya kubadilisha kanuni, waseme mwakani tunaongeza timu 2 ili ziwe 18 hivyo mwaka kuu hakuna timu itakayoshuka daraja kama ilivyowahi kutokea miaka ile ya katikati ya 80.
 
Sasa niambie kina Matola wana Mbinu gani za Kisasa za Kuweza kusoma Mchezo wa Kimataifa na kumtia Mchezaji na Kumuingiza mwingine ?Uwezo wa Makocha wa Kizawa ni mdogo!
Pia Usajili wa Vijana 3 chipukizi unatakiwa na Kocha Mgeni asiingiliwe…
Kina Raage na wenzake wanapenda wazawa ili wawatumie kwa masslahi yao!
 
Ni vitu vya hovyo, kuna kina kaburu, kaduguda wote hawa ni old school mentality hakuna
Jipya. Mpira wa sasa unahitaji
Vijana wenye new ideas

Kuna kina janabi …… hawa watu wa nini wazee hawana ishu au anaenda kuchoma watu sindano

Wabaki kuwa washauri

Somewhere hata MO ni sehem ya tatizo
Kweli kabisa. Timu imejaa kamati na mabaraza ya wazee kama chama cha siasa. Hao wazee wangetengewa platform yao ndani ya utaratibu wa upande wa wanachama na siyo upande wa Bodi au Management na ingewezekana kila baada ya miezi 3, Mwenyekiti wa Wanachama anawapelekea ripoti ya maendeleo ya klabu. Bodi ingebaki na wataalamu na wabobezi wa mpira, sheria, fedha, utawala, nk. Management ingeajiri na kuwa na watendaji zaidi na CEO awe na maamuzi ya mwisho katika utendaji wa kila siku wa timu.

Mo kakutana na kizingiti kwa sababu kuna tofauti za kimaslahi, elimu na kuaminiana kwa hiyo na yeye kageuka mswahili hadi sasa hauwezi kumtofautisha na hao wengine.
 
Back
Top Bottom