Simba SC inamkosa mtu kama Rally Bwalya dimba la juu

Simba SC inamkosa mtu kama Rally Bwalya dimba la juu

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
Simaanishi timu iko vizuri sana au vibaya ila inamkosa kiungo mwenye aina ya uchezaji kama wa Rally Bwalya.

Nini kifanyike?

Viongozi wa Simba SC dirisha kubwa la usajiri likifunguliwa hakikisheni mnamchukua Feisal Salum naamini ataleta tiba ya dimba la juu hapo Msimbazi.

Fred na Jobe waendelee kuwa chini ya uangalizi.

Mkiufanyia kazi huo ushauri mtanishukuru.
 
Rally bwalya nilikua nampenda sana huyu kiumbe, hata nje ya uchezaji/uwanjani, alinivutia sanaa.

Ni crush wangu haswaa.
 
Back
Top Bottom