Haya tena wana Simba tumepigwa na kibonde Ruvu shooting,safari hii nyumbani kwenye kiwanja kizuri kabisa.
Nasema there is something wrong somewhere siyo bure, timu inayohudumiwa vizuri haiwezi kubali matokeo kama haya mfurulizo, sasa wanaSimba tuzame kwenye mahesabu ili tuibue hizi wrong somewhwre befare Kariakoo debby vinginevyo siku hiyo itabidi tukimbie kulala kwenye mibuyu ili kuficha sura zetu.
SOMETHING WRONG YA KWANZA NI MORRISON:
Kasajiliwa kwa mbwembwe sana tena kwa hera nyingi kawakuta waliokuwa wanafia timu eti wao wameonekana si mali mali ni Morrison, hahika Morrison ni kirusi ameharibu kabisa morale ya timu wafia timu wamepunguza kujituma, acheze yeye Morrison, nakumbuka hii iliwahi kuwakuta hata watani zetu Yanga walipomsajili kwa hela nyingi ELISHA JOHN wachezaji aliowakuta wakawa wanampa pasi zote ELISHA JOHN si yeye ndo kaonekana mchezaji? afunge yeye sasa, Nakumbuka Yanga walikubali yaishe.
SOMETHINGWRONG YA PILI NI HAJI MANARA
Maneno yamekuwa mengi mno, eti mpira biliani what is that, Mpira ni magoli siyo biriani. Baba yake Sunday Ramadhani Manala ndio mchezaji wa kipaji cha juu kabisa kutokea nchi hii ni kwa sababu alikuwa anafunga magoli, tena alikuwa anafunga magoli yanayohitajika kwa wakati mwafaka mfano goli la kuongoza TAIFA CUP Pwani na Morogoro alipangua ngome yote ya Morogoro mpaka kipa. Bao la kusawazisha Club bingwa Afrika Enugu Rangers vs Yanga DSM mwaka 1975. Alipangua ngome yote yenye beki ngumu ya Enugu akampa pasi iliyopimwa kaka yake Kitwana Manala bao la kusawazisha . kazi nzima alifanya Sunday. Bao la kusawazisha Yanga na ACCRA HEATS OF OAK. Wakiwa Yanga wako nyuma bao moja Sunday aliipangua ngome yote ya Accra heats na kusawazisha bao vingenevvvvvyo ilikuwa aibu kwao kwani mechi yenyewe ilikuwa ya kirafiki ambayo Yanga waliiomba sana. Sasa haya Maneno ya mpira biriani Haji anayapata wapi? Si akamwulize baba yake kama mpira ni biriani? . Kwa hiyo msemo huu ufe mala moja tena kuanzia leo.
Nakataa Simba wanajifungusha ili kuwahadaa Yanga ili waone Simba ni mteremko ili wapate ushidndi kwenye Kariakoo dabby . nani alikuambia timu inaweza kujifungisha kwenye ligi ambapo kuna point 3 mhimu? falisafa hiyo ni upuuzi mtupu.
Nasema there is something wrong somewhere siyo bure, timu inayohudumiwa vizuri haiwezi kubali matokeo kama haya mfurulizo, sasa wanaSimba tuzame kwenye mahesabu ili tuibue hizi wrong somewhwre befare Kariakoo debby vinginevyo siku hiyo itabidi tukimbie kulala kwenye mibuyu ili kuficha sura zetu.
SOMETHING WRONG YA KWANZA NI MORRISON:
Kasajiliwa kwa mbwembwe sana tena kwa hera nyingi kawakuta waliokuwa wanafia timu eti wao wameonekana si mali mali ni Morrison, hahika Morrison ni kirusi ameharibu kabisa morale ya timu wafia timu wamepunguza kujituma, acheze yeye Morrison, nakumbuka hii iliwahi kuwakuta hata watani zetu Yanga walipomsajili kwa hela nyingi ELISHA JOHN wachezaji aliowakuta wakawa wanampa pasi zote ELISHA JOHN si yeye ndo kaonekana mchezaji? afunge yeye sasa, Nakumbuka Yanga walikubali yaishe.
SOMETHINGWRONG YA PILI NI HAJI MANARA
Maneno yamekuwa mengi mno, eti mpira biliani what is that, Mpira ni magoli siyo biriani. Baba yake Sunday Ramadhani Manala ndio mchezaji wa kipaji cha juu kabisa kutokea nchi hii ni kwa sababu alikuwa anafunga magoli, tena alikuwa anafunga magoli yanayohitajika kwa wakati mwafaka mfano goli la kuongoza TAIFA CUP Pwani na Morogoro alipangua ngome yote ya Morogoro mpaka kipa. Bao la kusawazisha Club bingwa Afrika Enugu Rangers vs Yanga DSM mwaka 1975. Alipangua ngome yote yenye beki ngumu ya Enugu akampa pasi iliyopimwa kaka yake Kitwana Manala bao la kusawazisha . kazi nzima alifanya Sunday. Bao la kusawazisha Yanga na ACCRA HEATS OF OAK. Wakiwa Yanga wako nyuma bao moja Sunday aliipangua ngome yote ya Accra heats na kusawazisha bao vingenevvvvvyo ilikuwa aibu kwao kwani mechi yenyewe ilikuwa ya kirafiki ambayo Yanga waliiomba sana. Sasa haya Maneno ya mpira biriani Haji anayapata wapi? Si akamwulize baba yake kama mpira ni biriani? . Kwa hiyo msemo huu ufe mala moja tena kuanzia leo.
Nakataa Simba wanajifungusha ili kuwahadaa Yanga ili waone Simba ni mteremko ili wapate ushidndi kwenye Kariakoo dabby . nani alikuambia timu inaweza kujifungisha kwenye ligi ambapo kuna point 3 mhimu? falisafa hiyo ni upuuzi mtupu.