kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Sisi Yanga tutakuja kujifunza jinsi ya kucheza mechi kubwa.Ujio wa kocha mpya utawafanya wachezaji watakaopata nafasi ya kucheza wapambane kufa na kupona Ili kujihakikishia nafasi kwenye kikosi Cha kwanza Cha kocha mpya.
Matokeo yatakua ni 3-0 au 3-1.
Wasichokijua wengi ni kwamba ushindi wa Leo utairudisha Simba kwenye msitari na muunganiko baina ya VIONGOZI, wachezaji na mashabiki utarudi tena.Sisi Yanga tutakuja kujifunza jinsi ya kucheza mechi kubwa.
Gamondi atuachie team yetu.
Tangu 2019 Yanga imeshafukuzisha Makocha wa Mbumbumbu SC watano [emoji1732][emoji1]Sisi Yanga tutakuja kujifunza jinsi ya kucheza mechi kubwa.
Gamondi atuachie team yetu.
Usikatie tamaa timu yako mkuu leo utafurahi.Timu mashaka matupu, Mungu aingilie kati tu kwa kweli
Na kinachokatisha tamaa zaidi ni upngaji wa timu kama vile benchi la ufundi limelogwa vile. Yaani utashanga kibabu Saidoo anapangwa uwanjani akakimbizane na watoto/wajukuu wake.Timu mashaka matupu, Mungu aingilie kati tu kwa kweli
Ulishawahi sikia msemo 'juhudi na maarifa'!?Ujio wa kocha mpya utawafanya wachezaji watakaopata nafasi ya kucheza wapambane kufa na kupona Ili kujihakikishia nafasi kwenye kikosi Cha kwanza Cha kocha mpya.
Matokeo yatakua ni 3-0 au 3-1.
Timu la caf,lenye uzoefu wa mashindano,timu la robo uhakika,una shaka nalo!?Timu mashaka matupu, Mungu aingilie kati tu kwa kweli
Guardiola huyu alikuwa akicheza Serie A ?Nina wasiwasi sana na mapenzi ya Cadena kwa Ayoub mdaka panzi na Saidoo. Hao jamaa wakianza Simba watakuwa na wakati mgumu sana uwanjani kwenye mchezo wa leo. Simba ijifunze kwa waarabu waliowafunga Yanga jana kwani wana mchezaji ana miaka zaidi ya 38 anaitwa Gurdiola pamoja na uzoefu na ubora wake lakini kapewa dakika 15 tu mchezoni.
No need to worryTimu mashaka matupu, Mungu aingilie kati tu kwa kweli
[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]No need to worry
Ushindi ni lazima Leo
Hongera kwa simba kushindaUjio wa kocha mpya utawafanya wachezaji watakaopata nafasi ya kucheza wapambane kufa na kupona Ili kujihakikishia nafasi kwenye kikosi Cha kwanza Cha kocha mpya.
Matokeo yatakua ni 3-0 au 3-1.