kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Ujio wa kocha mpya utawafanya wachezaji watakaopata nafasi ya kucheza wapambane kufa na kupona Ili kujihakikishia nafasi kwenye kikosi Cha kwanza Cha kocha mpya.
Matokeo yatakua ni 3-0 au 3-1.
Matokeo yatakua ni 3-0 au 3-1.