Simba SC iuzwe kwa tajiri Dewji

Simba chama langu ila nahisi hata msimu ujao yebo yebo watatupiga mbili
 


Mkuu nyie mna mafanikio sana

Tuache Na Simba yetu

Endelea na Yanga Yenu yenye mafanikio kedekede

Tunayajua matatizo yetu kuliko wewe unavyoyajua
 
Unadhani share zinauzwa tu kibudu...tehteh

49% kwa majority shareholder mmoja tu

51% kwa members.....ambapo itakuwa by default hakuna haya ya subscriptions
Kwa taarifa yako tu: Katika hao wanachama mimi nimo tena niko siku nyingi tu na hakuna anayejua kuwa mimi ni wa_Kimataifa. Sitaki Simba ife bali iyumbe kwa kwenda mbele kila mwaka. Nikiwa ndani ya Simba nimejichanganya mithili ya sukari na chumvi, ili uitenganishe sukari na chumvi unahitaji mbinu za kikemikali kama paper chromatography kwa mchangayiko wa rangi. Kajifunze maana ya maneno hayo.

Yanga daima mbele mikia nyuma kila siku.
 
ulitaka afanyeje kama MO

Ulitaka aingie k wenye siasa za kipuuzi za simba

then utofauti wake ungekuwa ipi

tuipende ku shift blame kwa watu w engine katika Makosa yetu wenyewe
He is already behind it... stop pretending kama vile hahusiki kabisa

Hivi nyie mnadhani watu hawajui his reaction baada ya kukataliwa kuinunua in the first place

People are not idiots
 
Mkuu nyie mna mafanikio sana

Tuache Na Simba yetu

Endelea na Yanga Yenu yenye mafanikio kedekede

Tunayajua matatizo yetu kuliko wewe unavyoyajua

Kama mnayajua hayo matatizo yenu msije humu kulia lia basi. Kichwa cha hii threads mdau anaonyesha kachoka na anataka Simba iuzwe hiyo pekee ina maanisha mna matatizo lukuki na hamna wa kuwasaidia.

Sisi kama watani wenu wa jadi na Pia kwa kuwa Simba ni tawi la Yanga (rejea historia) hatuwezi kuwaona mnaangamia bila kuwaokoa.
 
wacha jengo kuna uwanja unaohitaji kuendelezwa kuna mauzo ya jezi ambayo yanaishia mifukoni mwa wachache timu yetu inahitaji viongozi bora na wanachama wenye uchungu na timu
 
mfumo wa team za ulaya unaeleweka na watu wana share pale kwa hiyo timu ikiuzwa umiliki wa timu unabadilika na utawala pia na unakua bora...huyo anaetaka kuinunua simba si nae atakua na maslahi na wachache tuu..

Isanga family umenena vizuri sana.
Wanachama watapata share timu ikiuzwa.
Kila mwanachama atapata alicho toa kuiboresha Simba.
 

kwani jukwaa hili ni la mashabiki wa Yanga pekee mkuu

Tunaweza kuyajadili matatizo yetu sisi mkuu

Hatutaki manafiki kama nyie msiojitambua

Yanga haiwezi kuona kwa misingi Ipi...wakati matatizo yenu ni makubwa mara milioni kuliko simba
 
kwani jukwaa hili ni la mashabiki wa Yanga pekee mkuu

Tunaweza kuyajadili matatizo yetu sisi mkuu

Hatutaki manafiki kama nyie msiojitambua

Yanga haiwezi kuona kwa misingi Ipi...wakati matatizo yenu ni makubwa mara milioni kuliko simba

Tatizo lako wewe unaa element za kipumbavu. Tangu post yako ya kwanza inaonyesha dhahiri uko humu kwa ajili ya ku provoke watu na kuwatafutia Ban. Jukwaa la Michezo wastaarabu wanajulikana na wajinga wanajulikana tumeshaazoea humu kubadilishana mawazo na wanachama wa simba ila sio vilaza kama wewe . So next tym kama unaona huna mawazo constructive zaidi ya huu upuuzi unaoleta usi quote my Post. oh ukiona umeshindwa kujizuia just nitupie kwenye ignore list
 

Mpuuzi kweli wewe...who cares of looseholes of your like....pheeeeew...nicooncop
 
hivi huyu mo hahusiki na kufungwafungwa mi siwaaminigi watu hawa
 
Mpuuzi kweli wewe...who cares of looseholes of your like....pheeeeew...nicooncop

Halafu next time utukane kiswahili maana hayo matusi ya kuazima huyawezi. Au fanya umekosea unitukane tena coz hiyo nicooncop hakunaga kwenye dictionary ipo nincompoop tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…