Simba SC - Kagera Sugar FC, Uwanja wa Uhuru

Jana wachezaji wa mikia walionyesha wamechoka sana..waambieni waache kuangalia pilau na kupiga puchu..Kisinda na Tonombe watawapasua mapafu
 
Dadaaa. [emoji23][emoji23][emoji23]

Eti Mungu Mkubwa. LOL. Hata nyie Dada ni wa kusema hivi kweli. [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dada niache hapo nilikuwa nashusha pumzi za kutosha eti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…