Simba SC, Kipigo kitakatifu kinaweza kujirudia tena kwa Mkapa

Kwa jinsi safu ya simba ilivyo mbovu basi simba haiwezi fika mbali, MOTHERFUCKERZ, robo fainali ni karibu? Mechi ilizocheza simba toka awali mpaka sasa na mechi zilizobaki, zilizobaki ni chache zaidi mpaka kuchukua kombe alafu a fag anasema hawafiki mbali...
 
Mimi ni mpenzi wa Simba lakini kwa uchezaji ule wa Simba,hatuwezi kupindua meza.
Kama ni ushindi tutapata wa goli labda 2-1.

Sina hamu hata ya kuangalia mechi leo.
Hutaki tena kuangalia Pira Biriani!😬😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…